Aunty Ezekiel athibitisha kuwa single

Mwanadada Aunty Ezekiel amefunguka na kuonelea status yake ya mahusiano kwa sasa na kusema kuwa hakuna attitude anayoipenda na kuikubali kwa sasa kama kuwa single.

Aunty ezekiel  ambae hivi karibuni alikuwa akiulizwa kila siku kuhusu mahusiano yake na mzazi mwenzie mose iyobo  lakini alikuwa akikana kuwa hawajaachana na  hata moze mara nyingi alikuwa akikana na kujitahidi kuwaonyesha ulimwengu kuwa wako pamoja aliweka caption katika akaunt yake inayoonyesha kuwa yuko single.

katika ukurasa wake wa instagram aliandika ” someone  asked me what is ur attitude ..then i simply replied ….being single is my attitude… “

Wawili hao walisemekana kuachana kutokana na kushindwa kukaa pamoja kwa sababu ya kuwa na mchepuko ya pembeni.

 

Dudu Baya Atangaza vita na Mange Kimambi

Msanii Dudu baya amefunguka tena na kutangaza vita na wmanadada mwanaharakati katika mitandao ya kijamii na kumwambia kuwa hata siku moja asiinglie maswala ya kuwatetea mashoga katika mitandao ya kijamii na wala asiseme kuwa kampeni ya kukomesha mashoga iachwe.

mange kimambi ambae amekuwa akipinga swala la kuwakamata mashoga huku ikisemwa kuwa hiyo ni biashara haramu, anasema kuwa inaweza kuathiri kwa kiasi kikubwa biasharaya utalii kwa sababu  kuna nchi zinakuja huku ilhali nchini mwao ni kitu halali.

Hata hivyo swala hili linakuwa kubwa kwa mange na dudubaya baada ya dudubaya kuweka sapoti yake kwa kuamua kuwataja baadhi ya watu wanaohusika na biashara hiyo kwa kuwataja hadharani kabisa.Hivyo basi hata mange alipouwa akipinga swala hilo ni sawa na kuwa amepinga sapoti ya Dudu baya pia.

mange , mange , mange kima*** siwezi kukushangaa ukitetea mashoga kwa sababu hata watoto wakeo pia wanasoma shule za mashoga hivyohiyo, when you touch me, u touch god so dont mess up,

Aunty Amuweka wazi Role Model Wake

Mwanadada Aunty ezekile ameamua kuweka wazi hisia zake kwa msanii mkubwa wa nje ambae anamkubali nahata kufuata nyayo zake katika tasnia ya filamu anayofanya yeye kwa sasa.

katika ukurasa wake wa instagram Aunty Ezekiel aliweka picha ya mwanadada Kajol ambae aliwahi kuigiza katika  kuch kuch  huku mashabiki wake wakifurahia jambo hlo na kusema kuwa inawezekana kwa sasa msanii huyo ameamua kuwaweka wazi mashabiki zake.

Mwanadada Aunty amekuwa akifanya vizuri sana ktika tasnia ya bongo na ni moja ya wasanii wa kike ambao hawana skendo kama wasanii wengine  wa kike.

Aunty Aelezea Sababu ya Kumuweka Cookie katika Filamu Yake.

                                                       

Mwanadada ambae amejikita sana kwnye biashara  Aunty Ezekiel ,kwa sasa ameamua kurudi tena katika kuigiza na kuwaletea kitu kipya masabiki wake  kwa kuwaletea  filamu fupi inayokwenda kwa jina la mama , filamu ambayo itamshirikisha mtoto wake Cookie Iyobo.

Aunty Ezekiel amefunguka na kusema kuwa filamu hiyo inategemewa kutoka hiv karibuni na anataka kurudisha mapenzi yake kwa mashabiki na kutaka kutoa kitu cha tofauti kwa sababu kutokana na hadhi yake ni lazima afanye kitu cha tofauti.

Aunty Ezekiel amesema kuwa sababu kubwa ya kumuweka Cookie katika filamu hiyo ni kutaka kuapata uhalisia wa uchungu wa mama kwa mtoto kwa sababu anaona kabisa aapoongea na Cookie anapata hisia za kweli kabisa ingawa bado ni mtoto mdogo.

amecheza kama mtoto wangu na amekuja kujaribu,kuwa sure kama anaweza kufanya kwa sababu mwisho wa siku Cookie ni mdogo sana.ila nilitamani kujaribu na kucheza nae ili nipate ile feeling ya kuwa mama na kuwa na uhalisia wa hisia na pia iniume kaka mama.

Watanzania wameshachoka kuangalia vitu vya zamani, wanataka vitu vipaya sasa.nimewatengenzea kitu kipya kutokana na hadhi yangu mimi mwenyewe ipo kivingine. now am mama kwaio nitafanya kama mama.