Haya ndio Majiji 6 Watanzania wengi wanapenda kutembelea!!

Watanzania wengu wa dunia ya sasa wanapenda sana kusafiri. Kwasababu watu wengi sasa wanapenda kujua mambo mapya na kutaka kuifahamu dunia vizuri na kiundani.

Majiji sita ambayo watanzania hupendelea kwenda ni haya hapa:-

1.) Johannesburg nchini Afrika kusini

• Jiji kubwa kuliko yote Afrika kusini na mji mkuu wa Mkoa wa Gauteng

• Panafahamika kama mji wa dhahabu na jina lake limefupishwa kua Joburg au sasahivi maarufu kama Jozi.

✈DAR kwenda Johannesburg kwa TSHS370,000 tu tarehe 30 Disemba,2019.2019. https://avs.io/VmLW

2.) Abu dhabi nchini Dubai:

• Mji mkuu wa Emirate;

• Moja ya majimbo saba ya nayounda Umoja wa falme za kiarabu UAE ????????

• Ni maarufu kwa vivutio vya kimila na vivutio vingi kwa safari za kifamilia;

✈DAR kwenda Abu dhabi Kwa TSHS 785,334 Tarehe 30 Disemba ,2019. https://avs.io/VmNu

3.) Paris nchini Ufaransa:

• Mji mkuu wa Ufaransa maarufu kama Jiji la mataa;

• Jiji linalotembelewa kuliko majiji yote duniani;

• Inasifika kwa mnara wake wa Eiffel ulio na vitu vingi vya kihistoria;

• Ni mji mzuri na wa kushanganza Uingereza!

DAR kwenda PARIS kwa TSHS 878,260 tu Tarehe 30 December,2019.https://avs.io/VmOu

4.) Bangkok nchini Thailand:

• Jiji kubwa maarufu kwa mataa mengi barabarani na mitaa ya kung’aa majira ya usiku;

• Jiji lenye kushangaza, kufurahisha na pia ni jiji lisiloishiwa na pilika iwe usiku au mchana.

✈DAR kwenda BANGKOK kwa TSHS 979,408 tu Tarehe 30 Disemba, 2019. https://avs.io/VmRT

5.) Guangzhou nchini China:

• Mji wa tatu kwa ukubwa China baada ya Shanghai na Beijing

• Ni mji mkuu wa Jimbo la Guangdong Nchini China

• Ni maarufu kwakua na mahekaru, makumbusho na mbuga, kama Mbuga ya Nanling unazoweza kwenda kutembelea.

DAR kwenda Guangzhou kwa TSHS 854,556 tu Tarehe 30 Disemba, 2019. https://avs.io/VmQZ

6.)Mumbai nchini India.

• (Zamani ilifahamika kama Bombay) ni mji ulio na watu wengi sana pwani ya magharibi ya India.

• Mumbai ni mji mzuri sana wa kihistoria wenye sehemu za makumbusho za kuvutia, maduka makubwa, na mji uliochangamka sana majira ya usiku.

DAR kwenda MUMBAI kwa TSHS 742,778 Tu Tarehe 30 Disemba, 2019. https://avs.io/VmRe

Mji gani kati ya hii unafikilia kutembelea???

Unauwezo wakufika popote pale unapotaka kufika!! Nunua Tiketi ya ndege Kwa Punguzo hadi asilimia 47%.

Unadhani Kusafiri iko nje ya uwezo wako? Tunakuthibitishia kua wazo hili sio la kweli tena mwaka 2019. Endelea kusoma ili ufahamu jinsi ya kupata tiketi za ndege za gharama nafuu kabisa.
Ofa Zetu ni kama Ifuatavyo,..

Aviasales Tanzania hutoa huduma ya kutafuta tiketi za ndege za gharama nafuu kabisa, Hifadhi ya Hoteli, na huduma nyingine za usafirishaji kwa njia ya mtandao. Je Umevutiwa? Je wewe ungependa hudama hizi? Unaweza kutupata kwa kupakua App yetu kwenye simu yako au kwa Tovuti yetu ya www.aviasales.co.tz.

Tunakupa Ofa kabambe mbalimbali na tiketi za bei poa kabisa. Ni bure kabisa kupata huduma hii. Tunalinganisha bei za Tiketi zote za ndege zilizopo kutokana na mahitaji, na tunakupatia yenye gharama nafuu kabisa.

Bismark Rock, Jijini Mwanza
Bismark Rock, Jijini Mwanza????????????

Tovuti na App zetu ni rahisi sana kutumia, unaweza kuchagua unapoelekea,Tarehe ya safari na muda wa kuondoka na kufika. Una nafasi ya kupata chaguzi kadhaa kuhusu mizigo yako, Vituo na muda wa safari,ndege na vingine vingi…..

Jipatie tiketi za bei cheeee kabisaaaa!!!

Tembelea tovuti ya aviasales.co.tz  au pakua App yetu AviaSales kwenye simu yako ili tiketi yako ya ndege isikugharimu.

Any Destination is Within Your Reach! Book Best Flights Up to 47% Cheaper

Still thinking that traveling is beyond your means? Let us prove this is no longer true in 2019. Keep reading and learn how to find a cheap flight in today’s world.

What do we offer?

Aviasales Tanzania allows you to search for cheap airline tickets purchase, hotel reservations, and other travel services. Interested? You can reach us via both the mobile app and the website under the domain www.aviasales.co.tz.

Bismark Rock, Jijini Mwanza
Bismark Rock, Jijini Mwanza????????????

We offer you a wide range of the best offers and cheapest tickets. It’s absolutely free. All you need is to specify your destination, enter arrival and departure dates, and click on “search”.

What’s even more, you can apply handy filters regarding your baggage, stopover and journey duration, airlines, and many others. We compare all available options relevant to you and pick the best one. Voila, you get the cheapest ticket!

Visit AviaSales.co.tz or use our mobile apps AviSales and never overpay for your flights.