Mrisho Mpoto Amuita Diamond Kwenye Msiba wa Ruge

Msanii mkongwe wa muziki wa asili wa siku nyingi amefunguka na kushindwa kuvumilia maumivu anayoyasikia hasa anapoona kuwa kila mtu yupo katika msinba wa mkurugenzi wa Clouds Media kasoro msanii Diamod Platinumz.

kwa kuzingatia ilo na upendo baina ya watu, Mrisho aliamua kuweka Public Announcement kwa Diamond na kumwambia kuwa anajua kuwa amekuwa akimheshimu sana na kwa sababu hiyo anampataarfa kuwa Ruge amefariki na aje kwenye msiba kwa ajili ya kuzika.

katika ukurasa wake wa Instagram, taarifa hiyo kutoka kwa Mrisho kwenda kwa Diamond ilisomeka kama inavyoonekana

 

watu wengi wamekuwa na tensio kubwa ya kutaka kujua reaction ya msanii huyo  kwa sababu tangu ruge ameanza kuumwa hakuwahi kuweka wala kuonyeshwa kuguswa na matatizo hayo na hata sasa mwanahabari huyo amefariki hakutaka kuonyesha kusikia swala lolote kuhusu Ruge,.

Hii inatoa tasfiri kuwa zile tetesi za chinichini zilizokuwepo kuwa kumekuwa na upinzani wa nguvu kati ya Ruge na Diamond platinumz ni kweli na kwamba wawili ho kuna mmoja alikuwa na chuki na mwenzie au wote.

 

 

Mh Makamba Atambua Mchango wa Diamond katika uchaguzi 2015

Mh January Makamba amefunguka na  kusema kuwa auli mbiu ya kipindi ch CCM ya hapa kazi tu waliipata utoka kwa Diamond baada ya uwaambia kuwa ile sera yao ya kwanza ya hapa ni azi tu kuona kuwa haileti mantika kama hiyo.

January Makamba amefunguka hayo  alipokuwa katia mahojiano na clouds media na kusema kuwa moja ya mambo anayoubuka katika uchaguzi wa mwaka 2015 katika michango walioipata kutoka kwa wasanii ni swala la iyo kauli mbiu ya chama .

Mh makamba anasema “Msanii Diamond platinumz alitusaidia kupata kauli mbiu ya buchaguzi wa CCM mwaka 2015 kutoka hapa ni kazi tu na wenda kwenye hapa kazi tu , “

Diamond Athibitisha Kuna Kinywaji Kitaingia Udhamini wa Wasafi Festival.

Msanii Diamond Platinumz amethibitisha kuwa uongozi wake tayari umeshaongea na moja ya uongozi wa kinywaji kimoja ambacho kimeamua kutoa udhamini kwa tamasha lao la Wasafi festival linalotarajiwa kuanza wiki ijayo ya tarehe 24 huko Mtwara likizunguka mikao na nchi mbalimbali.

Ikumbukwe kuwa hii imeleta attention kubwa katika mitandao kwa sababu hapo karibuni msanii Alikiba alitoa ahadi ya kutoa udhamini katika tamasha hilo ikiwa kama njia ya kukubali mualiko aliopewa na msanii huyo kuhudhuria tamasha hilo.

katika ukurasa wake wa instagram, Diamond aliandika ” Managementi imeniambia kuwa kuna kinywaji kesho kinaingia on board kuwa mdhamini mkuu, …wasafi festival2018,,,,,naomba tu na mimi nikiambie kuwa naomba kitengeneze stock za kutosha  maana sio tu kunywewa bali hata pia  kuna wengine watataka kukiongea kwa jinsi nitakavyokipa promo ya kutosha.…”

 

Mwanamke Sura Tabia Tutaelezana:-Diamond Platinumz

Msanii wa muziki wa bongo fleva Diamond Platinumz amesema kuwa kwake yeye kitu anachoangalia kwa ajili yakupata mwanamke wa kuona sio tabIa kama wengi wanavyofanya bali yeye anaangalia sana sura kama inalipa.

Dimaond anasema kuwa mwanamke huwezi kumbadilisha sura lakini kama ana tabia mbovu unaweza kumrekebisha na kuendelea na maisha.diamond anasema kuwa kama atapewa achague kwa asilimia basi sura ni 70 na tabia ni 30.

kwakweli wakati mwingine tabia tunapenda lakini kitu kikubwa cha kaungalia sana ni sura ,kwakwe tabia mnaweza kuelekeza  lakini  ura mnaweza kuelekezana wapi? vipi?tabia tunajifunza kama alijifunza kuchukia lazimapia atajifunza kupenda pia.mwanamke mimi naangalia sura bhana.

Diamond anasema hayo yote lakini ikumbukwe kuwa siku za hapo nyuma mama mzazi wa msanii huyo aliwahi kusema kuwa mpenzi wa diamond wa sasa (hamisa)  hana tabia nzuri na pia ni mchafu hafai kuolewa.

Nilitegemea Kuwa Tajiri Kama Diamond:-Juma nature

Msanii Juma Nature anasema kuwa kuwa miaka ya nyuma aliyokuwa akifanya kazi na album zake zilivyokuwa zikifanya  vizuri alitegemea  kuwa kama ingekuwa ni wakati huu basi angekuwa amenufaika sana na kutajirika sana.

Juma Nature anasema kuwa na yeye sasa angekuwa ni moja ya wasanii wachache  wenye mafanikio makubwa sana kama walivyo wakina Diamond lakini ndio muda nao ulishapita.

kwa uuzaji ule wa album kwakwelitulikuwa tunafunikwa funikwa tu wala hatukuwa tunanufaika sana kama sasa hivi na hatukupaswa kuwa hivi.

nilitegemea kwa kipindi kile sasa hivi na mimi ningekuwa hata nina tv zangu kama mnavyomuona Diamond sasa hivi  na viwanda vikubwa vya kwangu mimi mwenyewe.

Juma nature anasema kuwa pamoja na kwamba kuna vitu wanamiliki sasa hivi lakini ni kutokana na kukomaa kwao kama wasanii wa zamani.

 

Nyimbo Moja ya Diamond ni Nyimbo 4 za Alikiba ;-Ripoti ya Youtube

Miaka kadhaa nyuma iliyopita mwanamuziki Diamond Platinumz aliwahi kutoa nyimba na msani kutoka Nigeria Mr. Flavour, wimbo ambao ulimpatia Diamond viewers wengi sana kiasi cha kufikia milion 4o views katika wimbo wake mmoja tu katika mtandao wa you tube.

kwa jinsi idadi hiyo ya views inavyotolewa na youtube kwa upand wa msanii diamond na alikia unakuja kuoa kuwa katika viewers wa alikiba wa nyimbo zake nne za hivi karibuni ikiwepo Seduce me,Aje , Nagharamia na Mwana Dar Es Salaam  kwa ujumla wake zinaleta viewers milioni 40 ambayo ni sawa na wimbo mmoja wa msanii diamond aliwai kufikisha katika wimbo wake huo wa nana.

wawili hawa pamoja na kwamba wamekuwa mahasimu wakubwa lakini wamekuwa wakifanya kazi kwa malengo hasa ya kuwakosha mashabiki zao katika tasnia hii ya muziki.swala sio kuleta ushindani wa kugombana lakini kubwa ni kuangalia jinsi gani wasanii hawa wawili waliweza kufanya ngoma zao na mafanikio yao yalikuwaje kwa hivi karibuni.

Diamond Afanya Uzinduzi wa Wimbo wa Kombe la Dunia(+picha)

Msanii Diamond Platinumz amefanya uzinduzi wa wimbo wa colours alioimba na Jason Derulo, wimbo ambao ni maalum kabisa kwa ajili ya Kombe la Dunia mwaka huu litakalofanyika huko nchi Urusi.katika  ufunguzi wa kombe la dunia nchini  humo wimbo huo utaimbwa na wasanii hawa na kubwa zaidi ni kwamba kwa zaidi ya miaka 20 ya Kombe la Dunia bendera ya Tanzania haikuwahi kupeperushwa katika majukwaa ya Kombe la Dunia lakini itakuwa ni kwa mara ya kwanza bendera hiyo kupeperuka katika kombe la dunia kutokana na ushiriki wa Diamond.

 

Diamond akiwapagawisha mashabiki wake katika ukumbi wa serena hotel

Mkurugenzi wa coca cola Basil Godzioz

Mkurugenzi wa coca cola akikata keski katika ufumbuzi huo.

 

Baada ya Kumjohi Diamond, TCRA Kuichunguza Times Fm

Mamlaka ya mawasiliano Tanzania, TCRA  imesema kuwa kamati yake ya maudhui inafatilia kipindi alichofanya Diamond Platinumz katika radio ya Times Fm iliyofanyika siku za hivi karibuni huku kipindi hicho kikiongozwa na Lilommy.

Mkuu wa idara ya mamlaka hiyo amesema kuwa wameamua kuchukua hatua hiyo baada ya kuona mahojiano hayo na pia kituo icho kipo katika vituo wanavyovisismamia.

Diamond alifanya mahojiano na kituo icho na kusema mambo mengi ambayo hayakuwahi kujulikana katika jamii, lakini kubwa zaidi ni kufunguka hasira zake baada ya kufungiwa kwake na wasanii wenzake kupigwa kwa baadhi ya nyimbo zao katika vituo mbalimbali .

Kwa namna nyingine inaweza kusemekana kuwa mahojiano hayo ndio yaliyozua migogoro yote inayoendelea sasa kati ya Diamond na mamlaka ya inayohusiaka na mambo ya sanaa.

 

Lemutuz Amkosoa Mh.Shonza, Ahusishwa Kufungiwa Kwa Wasanii na Bifu binafsi

Mambo ni moto, huku waziri mwakyembe akimtuhumu Diamond kulewa na umaarufu na kufanya abishae na Naibu waziri ambae anawakilisha Serikali, bado huko katika mitandao ya kijamii wata wamezidi kuonyesha hisia zao juu ya jambo hilo kwa kudai kuwa naibu waziri anatafuta kiki.

Mwanahabari wa Tanzania, le mutuz ameibuka na kudai kwa Naibu Waziri amekuwa akitumiwa na watu wenye chuki kubwa na muziki wa diamond ili kuua muziki wake na sio vinginevyo.Le Mutuz anasema kuwa  huu ulikuwa ni wakati wa serikali kuona mchango wa Diamond hasa baada ya kuchaguliwa kwenda kufanya show ya ufumbuzi wa kombe la Dunia.                                                                                                     

 

Lemutuz ambae amesema kuwa pamoja na kwamba Mh Juliana Shonza ni mwana CCM mwenzake lakini anaona kabis katika hili la kuwafungia na kubishana na Diamond katika mitandao ya kijamii haiwezi kunyamaza kimya.

Hata hivyo Lemutuz amemhusisha julana shnza na moja ya kiongozi wa kituo flani cha radio “MUNGU MTU” ambacho hajakitaja na kusema kuwa wamekuwa wakishirikiana hili kumtua diamond katika nafasi kubwa ya mafanikio ya kimuziki aliyonayo.

 

 

Diamond Amtumia Salamu Mh.Naibu Waziri

Msanii wa muziki wa bongo fleva nchini diamond platinumz  kufuatia kitendo cha Naibu Waziri kumfungia msanii mwenzake Roma kwa muda wa miezi sitabia kufanya kazi yoyote inayohusiana na muziki kwa kosa la kuimba wimbo ambao unasemekana kuwa  na upotofu na hauna maadili katika jamii.

Huwezi kumfungia mtu kama roma kwa miezi sita,unajua kuwa anachangamoto gani?umeshawahi kutaka kuzitatua, unanifungia nyimbo nzangu umeshawahi kuchangia ni i katika muziki wangu , utamnunulia tiffah wewe pampers, simuogopi mtu hata kaka jela mimi nitaenda kwa ajili ya kuukomboa muziki .ntaitetea bongo fleva kwa sababu naijua kuliko anavyoijua yeye anaetufungia , sio unakuja unafungia bila hata kufanya research, anakuja na atatuacha sisi hapa.

Diamond ambae anaonekana kujiamini kuwa hata iweje lazima atasimama kwa ajili ya bongo fleva,pamoja na kwamba hata yeye ameathirika na kufungiwa lakini yeye  anasema kuwa wala hajali kwa sababu hajapata taarifa rasmi juu ya kufungiwa kwa nyimbo zake zaidi ya kuziona habari katika mitandao ya kijamii.

Diamond Amliza Nisha Bebe.

Msanii wa muziki nchini Diamond Platinumz amemtoa machozi mwanadada Nisha baada ya kusikiliza wimbo wak wa sikomi.

Nisha amepost  video katika ukurasa wake wa instagram akiwa anasikiliza wimbo wa Sikomi huku akitoa machozi kama ambavyo wimbo huo umekuwa ukitoa maudhui ya majonzi kwa mtu aliyeumizwa na mapenzi.

Nisha ni moja ya wasanii wa kike ambao mara nyingi wamekuwa wakilalamika sana kuuumizwa na mapenzi tena kwa kukimbiwa na wapenzi wao na kwenda kutoka na watu wengine.

Hivi karibuni , Nisha aliingia katika mgogoro na Snura baada ya kusemekana kuwa Snura alimuibia aliyekuwa mpenzi wake nisha kwa makusudi huku akijua kabisa kuwa ni mpenzi wa Nisha.

Diamond Ataja Project Anayoipenda Zaidi Kufanya.

Inawezekana hiki ndicho alichokuwa anataka kukifanya muda wote lakini muda ulikuwa bado haujaruhusu  na  baadhi ya mambo yalikuwa bado hayajakaa sawa kwake,Diamond amekuwa  akisema kila siku  kuwa anapenda sana kusaidia wengine kwa kuwa anaamini kuwa hata yeye amepitia magumu sana mpaka kuwa yeye kama yeye.

Diamond anaamini kuwa wapo vijana  wengi mitaani wamekuwa wakiangaika sana kuendelea na kuvitambulisha vipaji vyao kama ndio njia ya kujipatia  vipato lakini inakuwa kazi kwa sabau wanakosa mtu wa kuwavuta pale walipo.

Katika ukurasa wake w Instagram Diamond aliweka wazi kitu anapenda kufanya ni project yake mpya ambayo inaanza sasa ya kuwa na media yake mwenyewe, kwa kuwa  anaamini kuwa atawafikia vijana wengi sana na kuwainua wengi kutoka pale walipo.

they asked me, what have been my favorire project of all that have done…i said..NEXT ONE!!…wananiuliza ni project ipi ninayoipenda zaidi katika zote nilizowahi kuzifanya ….nawaambia  ni hii inayofuata ..maana naijua haswa  na niliingojea kwa hamu …na itaniwezesha kuwanyanyua na kubadilisha maisha ya vijana wengi mtaani.-Alithibitisha Diamond katika ukurasa wake wa Instagram.

 

Bahati Ampongeza Diamond kuwa Msanii wa Kwanza Kuanzisha Lebo

Msanii wa muziki wa injili kutoka nchini kenya,Bahati amemsifia na kumpongeza msanii mkubwa bongo na afrika kwa ujumla Diamond Platinumz kuwa msanii wa kwanza Afrika kuanzisha lebo na kuwainua wasanii wengi we waliokuwa na vipaji na wakakosa watu wa kuwapa sapoti.

Bahati ambae nae pia amekuwa na lebo yake ya kutengeneza wasanii wanaochipukia inayojulikana kama EMB, amesema kuwa Diamond ni mfano wa kuigwa kwa sababu ameweza kuanzisha na kuisimamaia lebo hiyo na kuweza kufanikiwa kujulikana kila sehemu na watu wengi sasa wamekuwa wakifata mfano kutoka kwake.

Akijitahidi kumfananisha Diamond na wasanii wengine wa nje , Bahati anasema kuwa wasani wakubwa kama kina Chris Brown hawajaaanzisha lebo kwa miaka yote waliokuwepo katika muziki kwa sababu kuanzisha lebo na kuipa muda wa kukua na kuimarika ni kazi sana sio kama watu wanavyodhani .

Nataka kutoa shukrani nyingi sana na kumpongeza sana founder wa wasafi,Diamond Platinumz.unajua watu wanatoka lebo nyingi lakini wansahau kum-thank huyu mtu  na kum-acknowledge the visionary wa Afrika  Diamond kwa kuwa msanii wa kwanza kuonyesha na kuanzisha lebo na kusema zinaweza work .so big up kwanza kwa Diamond na vision yako ya Wasafi 

Bahati pia anawaomba wasanii wengine wanaotaka kuanzisha lebo wafanye kwa kuwa na vision ya kuanzisha lebo na sio kufanya tu kwa kuwa diamond au nani amefanya basi na mimi nifanye.

Napenda kuwapa neno pia wasanii wengine wanaotaka kuanzisha lebo kuwa wanapotaka kuanzisha lebo waw na vision na sio kwa sababu diamond amefanya au bahati kafanya,utajikuta unapoteza ela nyingi sana lakini hautaweza kupata vingine , lakini kikubwa utapata ambacho ssio cha muhimu sana ni likes za instagram tu.lakipi unapoanzisha lebo ni lazima uwe na roho ya kusaidia na kushikana mkono ili kuinua wengine.-Aliongea Bahati

Bahati alishawahi kufanya nyimbo  na moja ya wasanii wanaotoka katika lebo hiyo ambae ni Rayvanny na wimbo wao uliweza kufanya vizuri.

Rick Ross Aongea Kitu Kuhusu Kufuta Picha za Diamond.

Siku chache zimepita tangu katika mitandao ya kijamii kuzizima baada ya kuonekana kwa akaunti ya msanii mkubwa nchi Rick Ross kufuta picha za msanii mkubwa kutoka Tanzania Diamond Platinumz ilhali wawili hao wote ni mabalozi wa kinywaji cha Belaire, kinywaji kikubwa na chenye bei ghali sana.

Maswali mengi yaliibuka kwanini msanii huyo alifuta picha zote za Diamond na kuacha za balozi wa kike Huddah Monroe.Lakini jibu limekuja kuatikana baada ya msanii huyo kuweka picha nyingine ya diamond na kuandika maneno ya kumsifia.Katika ukurasa wake wa instagram rick ross aliandika diamond is legend kumaanisha kumpa sifa .

Wataalam wa mambo wanasema kuwa inawzekana kufuta kwa picha za Diamond katika ukurasa wa instagram wake itakuwa ni maswala ya kibiashara au kuna sababu ya muhimu lakini sio kwamba wawili hao wanaugomvi au hawako vizuri.

Hata hivyo meneja wa Diamond Sallam _Sk alifunguka na kulizungumzia hilo na kusema kuwa huwa inatokea mtu anaweka picha na baadae anazifuta kwaio iyo pia imetokea hata kwa msanii mkubwa Dunianai Rick Ross kufuta picha hizo.

Ninavyofahamu wasanii wengi huweka picha za kusapoti au kuweka tangazo lakini ikifika muda huweza kufuta zile picha ,na hata diamond mwenyewe huwa nafuta zinapoisha muda.

 

 

 

Faiza Amshauri Diamond Kuachana Na Zari Ili Apate Muda Wa Kula Ujana.

Baada ya kuenea kwa tetesi kuwa msanii mkubwa wa muziki bongo na mzazi mwenzie Zari The Bossy wanawezekana kuwa katika mgogoro mzito kutokana na tetesi zinazoenea kuwa msanii huyo kwa sasa anatoka kimapenzi na video queen Tunda , Faiza Ally amemshauri Diamond kuachana na stress za kuachana na mzazi mwenzie na kama anataka kumuacha amuache tu kwa sababu yeye bado ni kijana sana bado anahitaji kula ujana.

Faiza anamwambia Diamond kuwa aache kujibebesha mizigo ya kuwa na familia wakati yeye bado ni kijana na anahitaji kutumia ujana wake vizuri kabla umri wake wa kujibebesha majukumu haujafika.

Diamond ni kijana mdogo sana anahitaji kuhave funny na watoto wenzie sio wadada watu wazima, lazima tuangalie watu wa kutembea nao.go baba enjoy the World have funny ndio useto down.jiachie uwe huru ikibidi usiwe na mahusiano kabisa.bado ujaona Dunia hata robo, wewe ni star ela ipo . there is a lot to see nasema with a clean hate no hate  kwa zari na kwa yoyote.

Sio kwa mara ya kwanza Faiza amekuwa akitoa ushauri kwa Diamond kutokana na matatizo yanayomkumba hasa kwa mambo ya mahusiano na jinsi wanawake alionao katika mahusiano wanavyokuwa wanampelekesha.

Itakuwa ni mara ya pili sasa Diamond na Zari wanaingia katika mpasuko wa kimapenzi baada ya kuwa natetesi nyingi zinazokuwa zikisambaa kwamba mwanaume huyo yupo katika mahusiano ya kimapenzi na watu wengine.Mara ya kwanza ilikuwa Hamisa Mobeto na sasa ni mrembo Tunda.

Mama Diamond Azidi Kumpigilia Msumari Wa Moto Hamisa.

Mwaka unaenda kuwa mwisho na mambo yanazidi kupamba moto katika mitandao ya kijamii hasa baada iya familia hzi mbili ya Diamond Platinumz na ya Hamisa Mobeto kuwa katika vita isiyoisha ambayo ilikuwa imelala kwa kipindi fulani lakini sasa inakuja tena kuwa mpya hata zaidi ya mwanzo na  kwa kasi, na hii inaweza kuwa  itakuwa ni vita kubwa ya watu ,maarufu  ya kufunga mwaka .

Vita hii ilianza tena upya ambapo kwamuda ilikuwa kimya , hii ni  baada ya Hamisa na Zari kujikuta tena katika sehemu moja wakiwa kama wanatengeneza ushindani wa kujaza watu katika party mbili tofauti katika nchi moja nchini Uganda, vita ambayo imekuwa mpya tena hasa baada ya wanawake hao kujikuta wakioneana wivu kutokana na kuzaa na bwana mmoja na kila mtu akionekana kutaka ku-creat attentionkwa mashabiki kuwa bwana yupo upande wake.

Vita hii sasa imewaingiza mpaka watu wa karibu wa familia ya Diamond na Hamisa hasa   mama zao kwa pande zote mbili,hivi juzi mama mzazi wa Diamond ametupa dongo lingine kwa kumwambia kuwa kama yeye ni mbu basi haina haja ya kupigwa bunduki bali dawa yake ni Expel tu.

Majina ya kuitana mbu yalianza pale ambapo Zari alijisfia na kujiita tembo na kwamba hawezi  kufananishwa na mbu wanaouma nyumbani ndipo Hamisa alipokanusha kwa kujiiat mbu  na kwamba anaeweza kuua mtu kwa malaria.