Amber Lulu na Diva Hawana Kinyongo Ku-share Penzi La Prezzo.

Msanii wa Bongo Fleva ambae pia ni video vixen,  Amber  Lulu amesema kuwa hana kinyongo kabisa na mwanamke mwenzie Diva The bossy kwa  sababu ya kushare penzi la Prezzo , msanii kutoka Kenya .Mwanadada Diva alikuwa katika mahusiano ya kimapenzi na Prezzo wa Kenya mwaka 2103 lakini walikuja kukorofishana na sasa hivi msanii huyo yupo katika uhusiano wa kimapenzi na msanii mwingine bongo  Amber Lulu.

Amber Lulu ameiambia Clouds Fm katika kipindi cha XXL, kuwa pamoja na kwamba yeyey na Diva wametembea na mwanaume mmoja lakini wako vizuri na hakuna aliye na bifu na mwenzie hata mmoja na hata wanapokutana wamekuwa wakizungumza bila shida yoyote.

hapana hajawahi kabisa na juzi nilikwa nae yupo fresh kabisa,nafikiri hivyo ni vitu vya zamani na yeye kwa sasa ana maisha yake mapya na heri muziki, kwaio maisha ni mapya na ni maisha mengine yamebadilika kwaio hakuna kumaindiana kabisa. -Aliongea Amber Lulu.

amber lulu na prezzo walianza mapenzi yao mapema october mwaka jana na kufikia hatua ya kupost baadhi ya picha wakiwa nusu uchi uku wakiitana mama watoto , na penzi hilo lilikiki kwa muda kidogo katika mitandao ingawa kwa sasa kidogo limepungua.Amber Lulu alishawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wasanii kadhaa bongo akiwemo Young Dee.

 

Diva Akiri Kuchezea Kichapo Cha Heri Muziki

mtangazaj maarufu bongo na mwenye sauti ya pekee diva Gissele amekiri kuwa picha zilizokuwa zinavuja katika mitandao ya kijamii zikimuonyesha akipokea kichapo na mpenzi wake Heri Muziki ni za kweli lakini hazikuweka na yeye katika mitandao bali kuna mtu alikuwa akiwavizia na kuzirekodi picha hizo.

Diva anasema kuwa ni kweli tukio ilolilitokea wikiiliyopita maeneo ya kinondoni  na kudai kuwa wakati wakigombana na mwanaume wake kumbe kulikuwa na mtu pembeni ambao wao hawakumuona alikuwa akiwarekodi na ndie aliziweka picha hizokatika mitandao ya kijamii.

Diva anasema kuwa ugomvi huo na mpenzi wake ulisababishwa na wivu wa Heri Muziki kwa kumtuhumu kuwa alikuwa akimsaliti lakinis io kweli ambapo baada ya ugomvi huo alifuta picha zote ambazo ni zake katika ukurasa wake  wa instagram.

Heri amefuta picha zinazonihusu mimi  katika mtandao wa instagram,anyway najua hayo yote ni maamuzi yake na yamekuja baada ya  tukio lililotokea wiki iliyopita.He is grown up  and he knows what he is doing.Mimi sijafuta hata picha moja katika instagram yangu  i always  keep memories

Hata hivyo diva akanusha kitendo cha mpenzi wake huyo kumtuhumu kuwa alikuwa akimsaliti wakati sio kweli hata kidogo.

Mimi sijawahi kumsaliti Heri hata siku moja,am very faithful hasa ninapokuwa na mahusiano na mtu ,He has his own thing going on on his life  but that has nothing to do with me.Siwezi kumzungumzia kwa mabaya  namheshimu sana kwa sababu amekuwana mimi katika kipindi cha shida na raha kwaio siwezi kumzungumzia vibaya ,then maisha yangu ya mapenzi nataka yawe private.

Hata hivyo Diva anasema kuwa maisha lazima yaendelee  kwa sababu katika mapenzi kukosana kupo.

in life or relationship kukosana kupo, kuna beyonce na jay z watu walikuwa wanahisi il ndo perfect couple  lakini watu walishuhudia ,so its normal  i just keep the positive life, at the end heri he is the father of my child.

Mwishoni kabisa Diva aliwaomba msamaha wana familia yake na mashabiki wake kwa kuona picha hizo zilizokuwa zikisambaa katika mitandao akipigwa na kuvuja damu kuwa ni maisha ya mapenzi ambayo kila mtu anaweza kuyapitia.