Hamisa Atuhumiwa Kutembea na Mkongo

Mwanadada Hamisa Mobeto ameingia katika skedno nyingine tena ya kujiingiza katika mahusinao na mwanaume wa kikongo ambae alikuwa akimsapoti sana katika maswala yake ya muziki na kudaiwa kuwa mwanaume huyo kwa sasa ameamua kumuacha baada ya kuonekana akitembea na rafiki wa mkongo huyo.

Habari zinazotolewa katika page za udaku zinasema kuwa , mwanadada hamisa mobeto alikuwa katika mahusinao na mwanaume huyo na aliahidi kumsaidia katika kazi zake za muziki lakini ghafa mwanadada huyo alimsaliti mwanaume huyo bila kujua na kwenda kutembea na mwanaume mwingine ambae hamisa hakujua kuwa ni rafiki na mkongo.

Hata hivyo inaripotiwa kuwa baada ya wawili hao kukutana na kuanza kusimuliana walijikuta wote wako katika mahusiano na mwanamke mmoja ndipo walipoamua kumuacha na kukatisha sapoti walizokuwa wakimpa.

Hamisa Atupa Dongo Gizani

Mwanadada Hamisa Mobeto amefunguka na kusema kuwa watu wamekuwa na tabaia ya kuonyesha kuwa wanawapenda pindi tu wanapokufa kwa kuwalilia na kuwawekea mashada ya maua wakati walitakiwa kuonyesha huo upendo wakiwa hai.

hamisa analaani kitendo icho na kuona ni kama unafki na kwamba hakuna rafiki wa kweli uniani kwa sababu kila mmoja anakupenda pale unapokua.

Akisema swala hilo bila kulenga mhuiska, Hamisa alifanya hivyo katika snapchat yake huku akisema kuwa “upendo mwingi huja watu wakiona kuwa umekufa, watakuoa maua wakati wanajua kuwa huweiz kuyanusa’ 

Hamisa ni Mwizi wa Mabwana za Watu :-Juma

Moja wa watu wanaokaa katika mitandao kwa muda mrefu na wamekuwa wakiwakosoa sana wasanii na watu wanaoenda kinyume, lakini pia amekuwa na page ya udaku kwa ajili ya mastaa mbalimbali Juma lokole amefunguka na kuongea kile anachokiona na jinsi watu wanavyokuwa wakimtuhumu hamisa mobeto juu ya mahusiano na wanaume tofauti.

Juma Lokole anasema kuwa hamisa ni kweli muwizi wa wanaume za watu wa sababu watu wamekuwa wakimtuhumu kila mara kuhusu swala hilo kuwa ni tabia yake.

Maneno ya juma yanakuja  baada ya mwanadada huyo kutuhumiwa hivi karibuni   kuwa aliiba bwana wa  Tahiya ambae baada ya kumuuliza alikataa lakini cha ajabu mwanadada huyo alimuweka wazi mwanaume huyo na kuonekana kuwa ni mwanaume wake.

Hata hivyo hii itakuwa mara ya kwanza kwa sababu hamisa aliwahi kutoka kimapenzi na Diamond na hata kupata nae mtoto kipindi ambacho Diamond alikuwa kwenye mahusiano na Zari the bossy.

 

Hamisa Atuonyesha Bwana Mpya.

Mwanadada Hamisa mobeto ambae kwa sasa amekuwa moja ya trending kbwa katika sanaa ya bongo ameamua kuweka wazi mahusiano yake baada ya mwanadada huyo kumficha mwanaume huyo kwa muda mrefu.

Hata hivyo ingawa kuna watu wamekuwa wakisema kuwa alichofanya hamisa sio sahihi kwa sababu alitakiwa aweke mahusiano yake kuwa ya siri ili kutoharibu cv yake kama zinavyokuwa zikiharibikia cv za baadh ya wasanii kwa sababu ya kutafuta kiki.

Katika ukurasa wake wa snapchat , hamisa aliaweka baadhi ya picha huku akisema kuwa huyu ndio baba yenu kwa sasa huku wawili hao wakionekana kula raha katika moja ya hotel kubwa Zanzibar.

 

Hamisa Ashutumiwa Kuiba Bwana na Tahiya

Mwanada video queen katika video mbalimbali Tahiya amemshtumu mwanadada hamisa maobeto kwa kuiba bwana ambae kwa upande wake anasema ni wa kwake lakini Hamisa amejifanya kama hamjui na kuingia nae katika mahusiano .

Tahiya alianza kutoa povu hilo baada ya mwanadada Hamisa Mobeto kuonekana akiweka picha akiwa zanzibar akiwa anakula rah ndipo , mwanadada huyo alipoamua kufichua siri kuwa mwanadada huyo ameenda zanzibar akiwa na bwana wake.

Hata hivyo mwanadada huyo aliweka pia baadhi ya charts ambazo zinasemekana kuwa zilitengenezwa na  tahiya ili zionekana kuwa ni za kweli kuhusu mwanaume huyo ilhali hazina ukweli wowote.

 

 

Mh Makonda Amtia Nguvu Hamisa.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameteka ghafla mazungumzo mtandaoni kufuatia ujumbe uliomwandika Mwanamitondo Hamisa Mobetto.

RC Makonda ametumia ukurasa wake wa Intagram kuweka video ya Hamisa Mobetto na kuisindikizia na ujumbe uliosomeka;’Mama kwa uzoefu nilionao hili lisikupe tabu’.

Ujumbe huo ulikuja zikiwa ni saa chache kupita tangu kwa muimbaji Diamond Platnumz kumtambulisha mpenzi wake Tanasha kwenye familia yake.

Utakumbuka Diamond na Hamisa Mobetto wamejaliwa kupata mtoto mmoja katika mahusiano yao ambayo waliyafanya siri kwa kipindi kirefu. Tetesi ziliwahi kudokeza huenda wawili wangekuja kufunga ndoa, hata hivyo hilo linaoneka kuota mbawa kwa sasa.

Kwa Mara ya Kwanza Hamisa Afanya Show yake Jijini Dar.

Mwanadada hamisa mobeto kwa mara ya kwanza amefanya show yake  jijini Dar tangu amekuwa msanii  wa kuimba katika Industry ya sanaa.

Mwanadada huyo ambae ana miezi kama minne tangu ameanza kuimba aliweza kufanya shoe na kuperform nyimbo zake mbili za tunaenda na madam hilo katika usiku wa masauti pale Legency Park hotel.

Hamisa aliweza kuungana na wasanii wengine wengi wakubwa na wenye uzoefi tayari katika muziki ili kuwaburudihs mashabiki akiwepo Lady jay dee, Ruby na hata Aslay pia ambapo kwa msanii mchanga kama yeye kuna vitu anajifunza kupitia wao.

Hamisa Akataa Kumuongelea Lynn kwa Lolote.

Mwanadada Hamisa Mobeto alipokuwa katika  birthdau party yake alifuatwa na waandishi wa hhabari na kuulizwa maswli mawili matatu kuhusu siku yake hiyo, lakini moja ya maswalia liyoulizwa ilikuwa ni kuhusu kuhusikia wimbo mpya ya lyn ambao umetoka hivi karibuni.

Mwanadada huyi bia  kusita alikataa kujibu kuhusu swali hilo huku kioa anachoulizwa anjibu NO COMMENTS, kitu ambacho sio cha kawaida.

Wawili hao wanaonekana kuwa katika bifu la chnichini ingawa Lyn aliwahi kutamka kuwa hajawahi kuonana na  hamisa hata mara moja zaidi ya kumsikia katika mitandao  ya kijamii.

Lyn na hamisa wanatajwa kuwa katika bifu hasa baada ya wadada hao wote kusemwa kuwa waliwahi kuwa na mahusiano na msanii Diamond platinumz ambapo kwa hamisa ni baba wa mtoto wake.

Hata hivyo lynn alisema kuwa katika kazi zake mpya za muziki zinazoanza anatamani kufanya kolabo na Hamisa.

Baada ya Kutoa Wimbo Mpya, Mashabiki wa Hamisa Waofia Mahusiano ya Msanii Wao

Wikiendi hii mwanadada Hamisa Mobeto ametoa wimo mpya uanajuliakana kama tunaendana wimbo ambao amefanya shooting nchini marekani alipokuwa amekwenda kwa ajili ya kazi zake za kimuziki amojana kufanya tour sehemu mbalimbali.

Hata hivyo katika wimbo huo ambao anaeonekana kuwa ni video model ni mwanaume ambae hapo awali aliwahi kutrrend sana kama mwanaume mwa mwanadada huyo na kusema kuwa wamanza mapenzi hivi karibuni lakini baada ya kutoa kwa muziki huo kila mtu amekuwa na maoni tofauti.

Kama ili kawaida kwa wasanii wa tanznaia kufanya trending sana ya nyimbo mpya hasa pale wanapokuwa wakivunjisha picha za baadhi ya vipande vinavyopatikana katika wimbo unaokuwa unakuja, mashabii wanahofia kuwa inawezekana kuwa drama zote za msnaii huyo inaweza kuwa ni mahusiano feki na ni kwamba kwa sababu alikuwa akitoa wimbo huo ambao mwanaume huyo yupo.

Hata hovyo mwanadada huyo hajasema chochote tangu ametambuklisha wimbo huo huku akiwaacha mashabiki wake njia pande kwa sababu team hamisa waligombana na kuwatukana watu wengi sana kutokana na swala la mwanadada huyo kujiingiza katika mahusiano na mwanaume huyo.

Esma Amwita Mpenzi Mpya wa Hamisa Mario

Mwanadada Esma Platinumz ambae ni dada wa msanii Diamond platinumz amefunguka na kutoa yake ya moyoni baada ya mashabiki wa Hamisa kumsifia  sana mwanaume mpya wa Hamisa kuwa yuko tofauti sana na wanaume aliyowahi kuwa nao katika mahusiano akiwemo Diamond platinumz.

katika uwanja wa maoni, Esma alindika la moyoni baada ya kukwera na kile kilichokuwa kikisemwa na mahsbiki kuhusu kaka yake na kuandika “tofauti yao ni nini maana mbona huyo kwa kwenu anaonekanakuwa mario”

Hamisa kwa mara ya kwanza leo aliandika katika ukursa wake kuwa mwanaume huyo ambae amekuwa akihisiwa kuwa yuko nae katika mahusiano ni kweli kuwa ndio mpenzi wake kwa sasa.

Hamisa Amtangaza Mpenzi Wake Rasmi

Pamoja na kwamba kumekuwa na picha na video mbalimbali katika mitandao ya kijamii zilizokuwa zikimuoyesha mwanadada Hamisa Mobeto akiwa na mwanaume wake, sasa ameamua kubwaga manyanga chini na kuamua kumutambulisha wazi kabisa kuwa yule ndio mpenzi wake.

Hamisa Mobeto ambae alikuwa katika mahusiano na diamond kwa muda mrefu ameamua kuweka katika mitadano ya kijamii kupitia ukurasa wake wa instagram na kuandika caption iliyoashiria kuwa kwa sasa ameamua kujiweka hapo.

Kwa sasa hii mwanadada huyo bado yuko nchini Marekani ambap alikwenda kwenye tour na msanii Christian Bella.

 

Hamisa Alinga na Penzi Jipya.

Mwanadada Hamisa mobeto ambae hivi karibuni alitangza kwa picha kuwa kwa sasa amepata mwanaume mwingine, ameanza kulinga na kulingishia katika mitandao ya kijamii kuhusu mahusiano yake hayo mapya bila kujali watu watasema nini.

Wiki iliyopita katika ukurasa wake wa snapchat aliweka picha ya mwanaume mwenye asili ya kiarabu na kuweka emoji za mapezi na picha hiyo kusambaa sana katika mitandao ya kijamii.

Leo tena mwanadada huyo ameweka picha nyingine akiwa amebebwa na mwanaume kifuani kwake huku akindika kuwa kwa sasa hivi anadekezwa na wala sio kugombezwa.

Hamisa aliwahi kuwa katika mapenzi ya siri  ya msnii diamond platinumz, mapenzi amayo hata baada ya kujulikana yalimletea matatizo na kumfanya kupata misuko suko huku tayari akiwa na mtoto wa msanii huyo.

Hamisa aliwah kukiri hivi karibuni kuwa kuachana na Diamond kummfanya kuwa huru na kupata mafanikio Pia.

Picha ya Mwanaume Kwenye Snapchat ya Hamisa Yazua Utata.

Mwanadada Hamisa Mobeto amezua utata katika ukurasa wake wa snapchat baada ya kuweka picha ya kijana mwenye asili ya kiarabu katika ukurasa huo huku akiweka emoji za makopa kuashiria kuwa mapenzi tele.

Mwanadada huyo ambae kwa sasa amekuwa kimya na hakutaka kuonyesha kuwa na mahusiano na mwanaume yoyote amezua gumzo kwa ,mashabiki wake na kumtaka awaeleze ukweli kama huyo ndo mrithi wa diamond kwa sasa.

Mwanadada huyo ambae alisema kuwa ameazna kuwa na mafanikio makubwa kwa sababu ya kuachana na diamond na kwamba diamond alikuwa akimpa gundu la kutokuwa na mafanikio.

Hata hivyo gumzo ilo limekuwa ni la amshabiki tu na wala sio yeye mwenyewe kwa sababu kwa upande wake hajataka kuongea kitu kuhusu picha hiyo.

Diamond Alikuwa Ananipa Gundu;-Hamisa

WANAMITINDO anayebamba Bongo, Hamisa Mobeto amekiri kuwa mzazi mwenzake ambaye ni mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alimpa gundu.  Hamisa alitoa kauli hiyo hivi karibuni kwa hoja kwamba katika kipindi chote cha uhusiano wao hakuwahi kupata madili mengi na ya maana kama ambayo anayapata sasa baada ya kutemana naye.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Hamisa alisema tangu ameachana na Diamond ambaye alibahatika kupata naye mtoto mmoja wa kiume, amekuwa akipata madili mengi ya ndani na nje ya nchi ambayo hakuwahi kupata kipindi alipokuwa na jamaa huyo hali anayoitafsiri kama gundu.

“Unajua sasa hivi ninapata madili mengi hadi mimi mwenyewe nashangaa baraka zote hizi zilikuwa wapi tangu mwanzo mbona nilikuwa sipati, yaani utadhani nilikuwa na mtu ambaye alikuwa ananipa gundu, lakini sasa baada ya kumkwepa ndiyo gundu limenitoka,” alicheka na kukata simu.

Hamisa amekuwa akipitia changamoto mbalimbali kutoka kwa familia ya Diamond hadi kufikia hatua ya kupigwa na mamamkwe, kisa tu asionekane na jamaa huyo. Lakini baada ya kuachana na Diamond, mwenyewe anadai amekuwa akipata madili mengi ndani na nje ya nchi na watu wengi wanampenda na kumshauri asirudiane na jamaa huyo maana ameshadhalilishwa vya kutosha.

Irene:-Nilimjua Hamisa kwa Kuonyeshwa Kwenye Picha


Mwanadada Irene aefunguka tena kwa mara nyingine kuwa hajawahi kuwa na ukaribu wowote na mwanadada Hamisa Mobeto ambae inasemekana kuwa ni mke mwenzie kutokana na dada huyokuwa na mahusiano na Diamond ambae pia aliwahi kuwa na mahusiano na  Hamisa na kuzaa nae mtoto mmoja.

Wawili hao wanaonekana kuwa na bifu kutokana na teams zao kuwa wakiwakosoa kila mmoja kwa muda wake na kuwasemea vibaya lakini Irene mwenyewe anasema kuwa hajawahi kukutana na hamisa na wala hamjui kabisa.

Sina ugomvi na hamisa kabisa kwanza hatujawahi hata kuongea wala hatujawahi kukitana sasa unakuwaje na ifu na mt ambae hata hamjawahi kukaa na kuongea  au kuonana hata mara moja.ninaweza kuonana na hamisa na tukaongea na kuwa washkaji lakini kwa sababu sijawahi kuongea nae siwezi kusema kitu.

Hata hivyo mwandishi alipomuuliza Irene kama anamjua hamisa na e alijibu kuwa hamjui kabisa na ameazna kumjua baada ya kuwa akienda katika interviews amekuwa akiulizwa kuhusu Hamisa.

ofcourse simjui kabisa kwakweli zaidi ya kuwa naulizwa kuhusu yeye,  na vile kuwa naonyeshwa tu picha kuwa Hamisa ndo huyo lakini nimemjua siku za hivi karibuni tu wala sio zamani.

Hii haitakuwa mara ya kwanza kwa mwanadada huyo kusema kuwa hamjui Hamisa kabisa.

 

Mimi Niko tu Hivyo Kiuno Kimebinuka ;-Hamisa

Mwanadada Hamisa Mobeto amefunguka na kuzungumzia swala la mitandao ya kijamii kuwa wanamzungumzia kuwa amekuwa na tabia ya kupiga picha na kubinua kiuno.

Katika maoni ya mashabiki wengine wamekuwa wakimwambia kuwa amekuwa hakijibinua sana ili aoekane kuwa ana makalio wakati hana makalia kama walivyo wasanii wengine wa kike.

hata hivyo Hamisa amewajibu kuwa hilo sio kosa lake kwa sababu yeye ndio ameumbwa hivyo na Mwenyezi Mungu.

sio kama ninajibinua lakini nadhani pia kwa sababu ma-model wa bongo wanaokiki huwezi kuacha kuzungumzia hamisa ,  sometimes unakuta hata photographer anakwambia do this or do that,  lakini pia u akuta kuwa mimi ndo nilivyoumbwa na mwenyezi mungu niko tu hivyo, na siku zote wanasema kama haujaumbwa huwezi kuumbua.