Picha za Hamisa na Diamond zavuja
Ni zaidi ya mwaka sasa upite tangu kuwepo na tetesi za kuwepo kwa mahusiano kati ya msanii wa Bongo Fleva Diamond Platinumz na video queen maarufu wa Bongo Hamisa Mobeto.Ham...
Hamisa Mobetto aendelea kudai kuwa maisha yake na ya Abdul Naseeb yako mashakani
Hamisa Mobetto anaendelea kuhofia kuwa maisha yake na mtoto wake aliyezaliwa Agosti 8, mwaka huu. Kulingana na marafiki wake wa karibu, Hamisa Mobetto anaishi na wasiwasi k...
Diamond Platnumz amchana Hamisa Mobetto baada ya mrembo huyo kumpa mwanae jina “Abdul Naseeb”
Hamisa Mobetto ameonekana kutojali watakacho sema watu na kumpa mwanae wa siku kumi sasa jina la 'Abdul Naseeb' ambalo likedhibitisha kuwa ni mtoto wa muimbaji, Diamond Plat...
Hamisa Mobetto ampa mtoto wake jina Kiowa, Abdul Naseeb
Hamisa Mobetto ambaye ni video vixen na model amewaacha wengi wakijiuliza maswali baada ya kumpa mtoto wake jina la Abdul Naseeb. Jina hili limezua maswali mengi huku wengi wa...
Lucy Komba awapasha mashabiki wa Zari wanaomtusi Hamisa Mobetto
Muigizaji wa bongo Lucy Komba amefunguka kwa mara ya kwanza kuwakomesha watanzania ambao wanamtukana Hamisa Mobetto kisa kuwa mtoto aliyezaa ni Diamond Platnumz. Hii ni baa...
‘Baba’ ya mtoto wa Hamisa Mobetto ajitokeza
Dennis Louis ambaye ni mshindi wa milioni 50 za Tanzania Movie Talent amejitokeza kudai kuwa mtoto wa Hamisa Mobetto ni wake kupitia mtandao wake wa Instagram. Muigizaji hu...
Hamisa Mobetto aandika ujumbe ambao umewaacha wengi wakijiuliza Kama mtoto anayemtarajia ni wa Diamond Platnumz
Hamisa Mobetto ameonyesha kuwa yeye hamuogopi mtoto yeyote ata Zari Hassan ambaye ni 'mke' wa Diamond Platnumz na mama ya watoto wake wawili. Hii ni baada ya mrembo huyu ku...
Hivi ndivyo Hamisa Mobetto alivyosheherekea siku ya kuzaliwa ya mwanae
Hamisa Mobetto hajulikana tu kwa sababu ya urembo wake lakini kwa moyo wake mkunjufu na mtu ambae hana neno na mtu yeyote. Ameweza kuiweka maisha yake off mitandaoni na mara m...
Alichosema Mamake Hamisa Mobeto baada ya Zari Hassan kumtolea mwanawe povu
Maneno yamemfika kooni mamake model Hamisa Mobeto baada ya picha kusambaa mitandaoni ikidaiwa bintiye amechora tatuu ya Diamond Platnumz. Picha hiyo ilizua kero ikuluni,Mad...