Tofauti na Ushonaji , Wolper Pia ana Kipaji Hiki.

Mwanadada Jackiline Wolper ameweka wazi katika ukurasa wake wa instagram kuwa pamoja na kwamba amekuwa na kipaji cha kushona na ndicho anachofanyia kazi kwa sasa lakini kipaji chake kikubwa ni  upambanaji na yuko njiani kufanya jambo kuhusu swala hilo.

Jacky ambae kwa sasa amekuwa akifanya vizuri ndani na nje y nchi kupitia kazi yke ya ushonaji, amekuwa moja ya wasanii wa kugwa kutokana na kazi hiyo huku akisem kuwa ana mpango wa kuwaonyesha watu kuwa ushonaji sio kipaji kikubwa kama ilivyo kupamba.

wapendwa msiojua kipati changu kikubwa zaidi ya kile cha fashooon na uiguizaji, niwajulishe leo kuwa nina derco yangu , yaaani ninafanya derco mpaka najishangaa, wakati naangaika na maisha nilishapigaga sana kazi ya upambani na nilichokuwa naambulia ni misifa na nauli ya kurudia nyumbani…

Hakithibitisha hilo katika ukurasa wake wa instagram, wolper alisema kuwa  ipo siku ana amini kuwa atauaja kupamba ikulu wa rais.

..siku zinazokuja hii dream lazima  nije kuifanya wala sio ombi ninachomuomba Baba ni uzima tu na afy njema…nitapamba kumbi zote hata ile ya rais atakapokuwa na shughuli, nakuamuru shetani fungua njia nipite katika ndoto yangu,

Wolper Atangaza Kuokoka , Wasanii wa Injili Wampongeza.

Mwanadada mjasiriamali nchini Jackline Wolper ametangaza kuwa kwa sasa hivi yeye ameokoka na anampenda sana yesu ingawa watu wamekuwa wakimshambulia kuwa kwanini habadilishi mavazi yake kama kweli yeye ameokoka.

Hata hivyo Jack anatetea maamuzi yake ya kuingia kwenye uokovu huku akisema kuwa swala la kuokoka aliangalii wapi unaenda au nini unafanya au ni unavaa kwa sababu swala la uokovu ni vile wewe mwenyewe unakuwa na imani ngapi kwa Mungu .

Jack anatolea mfano na kusema kuwa mashabiki wao wamekuwa wakiwaandaman sana watu kama hao kama walivyokuwa wakimuandana Muna kipindi ameokoka kutokana na uwepo wa tatoo nyingi mwilini mwake huku wakisema kuwa Muna sio mlokole kabisa.

Jack anasema kuwa watu wengi hasa vihjana wamekuwa wakitamani sana kuokoka lakini wamekuwa wakingalia jisi wanavyoandamwa pale wanapoanza kuslya huku wakiwa wametangaza kuwa wameokoka na kuona kama itakuwa ngumu kwao kuokoka lakini wapo wengi ambao wanak=mionekano ya kimjinimjini na wanataka kuokoka.

Hata hivyo Jack anawashauri watu wengine kukoka huku akiomba kuwa na disco la yesu ambalo wale walitoka katika mambo ya kidunia wasikose kuwa wakifurahia uokovu.

 

Sababu ya Wolper Kutolewa Kuwa Jaji Miss Tanzania.

Mkurugenzi mkuu wa The Look ambao ndio waandaaji wakuu wa mashindano ya miss tanznaia nhini kwa mwaka huu yanayotarajiwa kufanyikaSeptemba 8 amefunguka na kujibu maswali ya wadau waliokuwa wakiuliza kwanini jackline wolpre hayupo katika majaji watakaofanya kazi hiyo siku ya miss tanzania.

Basila anasema “katika ngazi ya kanda  majaji ni kamati ya miss Tanzania  au watu ambao kamati itawapendekeza, na Jackline Hakuwa kamati ya Miss Tanzania.

Lakini pia majaji wanapewa semina, wolpr alichelewa kufika katika semina hivyo ataingiaje katika majaji wakati hajaongozwa, sio kuwa super star u basi  uje kujaji , hapana kuna miongozo maarumu ambayo alitakiwa kupata endapoa ngehudhuria kama wale majaji wengine walivyopewa , lakini yeye kafika semeina ieshaisha.

 

Jackline Wolper Alizwa na Wezi, Aonyesha Masikitiko Yake.

Mwanadada Jackline Wolper ameonyesha kusikitishwa na kitendo cha watu wanaofanya kazi ya kuiba navyorudisha nyuma maendeleo na kumvunja mtu moyo katika kitu kikubwa alichotaka kuwekeza au kukifanya kwa wakati huo.

Pamoja na kwamna mwanadada huyo hajasema moja kwa moja ni kitu gani amekumbana nacho au ameibiwa nini na ni wapi kati ya nyumbani kwake ao ufisini lakini katika ukurasa wke wa instagram , ameandika caption iliyofanya ielewekek kuwa hivi karibuni Jackline alilizwa na wezi.

Jackline aliandika ‘I cant , Mungu nipe nguvu” huku akiweka picha hii katika ukurasa wake

 

Sitoi Penzi Langu kwa Mwanaume Asiye wa Nchi Yangu;- Wolper

Mwanadada msanii na mjasiriamali Jackline Wolper amefunguka na kusema kuwa wala hata siku moja hajafikiria kutoka kimapezni na watu watu wa nje ya nchi yake pamoja na kwamba amekuwa akifanya kazi nyingi zinazompelekea kutoka nje ya nchi lakini hiyo haiwezi kuwa sababu.

Wolper anasema kuwa yeye anaamini kuwa mpezni bora atampata huku huku Tanzania na wala sio nchi nyingie ngawa kipindi yupo nchini Kenya kuna watu walianza kumsema kuwa alikuwa akitembea na raia wa nchi hiyo lakini hayo sio kweli.

sifikirii kabisa kutoa pezni langu kwa mwanaume ambae sio raia wa nchi yangu kwa sasa kwa sababu huko nyuma nilishapitia huko  lakini kwa sasa wala sihitaji, kama nimeamua kupendana basi atakuwa mwanaume kutoka nchini kwangu-Alijibu wolper ambae hapo mwanza aliwahi kutoka na mwanaume Mkongo.

Wolper Kuonekana Katika Cover la Jarida Maarufu Afrika Mashariki

Mwanadada Jackline Wolper ameonekna katika cover ya jarida moja la Afrika Mashariki linaloongekea maswala ya mafanikio ya wanawake upande wa afrika.

Hii inaonyesha ukubwa na mafanikio ya jcakline wolper kiasi kwamba anaweza kuwa mhasasishaji wa wanawake wengine kupitia kazi zake anazofanya katika jamii.

Tofauti na wasanii na wanawake wengine, wolper amekuwa moja ya wanwake wenye kuigwa kutokana na kuwa jasiri na kutokuogopa kujaribu kila njia ya kupata mafanikio na kukuza jina lake kupitia sana na sasa hivi upande wa fashion ambapo ndio anakofanya vizuri zaidi.

Jacky Atoboa Siri ya Mwanaume Aliyewahi Kumpa Raha Kuliko Wote.

Mwanadada Jackline Wolper hakusita kufunguka na kusema yaliyo moyoni mwake kuhusu mahusiano yake ya kimapenzi aliyowahi kuyapitia hapo awali mpka asasa.

Katika mahusiano kuna mtu mmoja ambae utaona kuwa anaweza kuwa bora kuliko wote au m hata kama utapata anaekupedna sana lakini bado inawezekana huwezi kumsahau mtu fulani amabe alikufanya kuwa na amani katika mahusiano yak, na hii uweza kutokea kwa kila mtu.

Mwanadada Jackline Wolper amesema kuwa Alikiba ndi mwanaume aliyewahi kuwa nae katika mapezni na anaedelea kumkumbuka mpaka sasa” katika mahusiano yangu yote niliyowahi kuwa nayo alikiba ndio alikuwa the best kuliko wote”

Kauli hii sio mara ya kwanza kwa abaadhi ya wanawake waliowahi kutoka kimapenzi na Alikiba, hata Gigy moey hapo nyuma aliwahi kusema kuwa Alikiba ni mwanaume aliyewahi kuwa nae katika mahusiano na amekuwa akimuona kama ndio the best of all men aliyowahi kuwa nao.

 

Kunani Kati ya Wolper na Mr .Nice.

Kuna video imekuwa ikisambaa katika mitandao ikimuonyesha msanii mkongwe nchini aliyewahi kusumbua sana katika tasnia ya sanaa kwa style yake ya  takeu iliyovuma afrika mashariki na kati pamoja na mwanadada wa bongo movies wolper Jackiline wakiwa club na wakiwa na ukaribu usioelezeka huku wakionekana ku-enjoy sana mazingira waliokuwepo.

Swali linakuja je wawili hao kuna nini kinachoendelea mpaka kufika hatu ya kuwa karibu na kutoka wote kwenda sehmu kama hizo au walikutana tu katika mazingira hayo.

Hapo nyuma Wolper alikuwa mpenzi wa Harmonize lakini pia Mr .Nice alishawahi kufanua kazi na wasafi na kuwa karibu na watu wa lebel hiyo, je ukaribu wa Mr. Nice na Jacky hautaaribu ukaribu wa mr  nic na harmonize na team nzima ya wasafi. hayo ni baadhi ya maswali ambayo wamekuwa wakijiuliza mashabiki wao , lakini mwsho wa siku ukweli wanaujua wao wenyewe.

 

 

Wolper :- Dear Sarah, Namuogopa Mume Wako Kama Ukoma

Mwanadada Jackline Wolper amemtumia barua Sarah wa Harmonize na kumwambia kuwa hata siku moja asije akafikilia kuwa yeye ataweza kurudiana na Harmonize kwa sababu anamuogopa kama ukoma, katika ukurasa wake wa snap chat Wolper ametuma ujumbe huo kwa sarah na kumwambia kuwa yeye hakae tu na amani kwa sababu hana mpango wa kurudiana na harmonize.

Wolper anamwamba Sarah kuwa hata kama mume wake hatakuja na billion 1 alizowahi kumuonga bado hawezi kurudaina nae na kwamba yeye awe na amani na maisha yake tu.

dear Sarah sikuchukii popote ulipo,simfwatilii bwana wako kwa sababu sina hata muda nae,namuogoa kama ukoma na hata iweje hata anipe billions alizochuma kwako ili nirudi siwezi kurudi hata siku moja  na wale siwezi kuwa na amani tena maana ningesharudi tangu kipindi kile natuma watu turudiane kwa siri

Haya yote  yanakuja baada ya kuwepo kwa mgongano wa mud a mrefu kuhusu kuwepo kwa tetesi kuwa wolper anampenda bado harmonize na amekuwa akimtumia sms ili warudiane ,  lakini harmonize hataki kwa sababu ameshaamua kuwa na sarah,

Sarah amekuwa akimtuhumu sana wolper kuwa anamtumia sms nyingi mwanaume wake ili arudiane nae lakini wolper siku zote amekuwa akikataa swala hilo na kusema kuwa maneno hayo ni uongo na hayana ukweli ndani yake.

Ikumbukwe kuwa Wolper na Harmonize walikuwa wapenzi siku za nyumba na kufikia hatua ya kuimbiana nyimbo lakini walikuja kugombana huku chanzo kikubwa Wolper akisem akuwa ni baada ya harmonize kumpata sarah ambae amekuwa akimpa ela nyingi  hivyo kumuona kuwa yeye sio wa maana.

kilichobaki kwa sasa ni ugomvi  baina ya wanawake hawa wawili , na hivi karibuni Harmonize alitoa list ya wanaume ambao Jackline Wolper aliwahi kutembea nao huku akitaka kumuacha mzungu wake kwa madai kuwa hawezi kulingana nae.

Wolper Bado Ateswa na Penzi la Harmonize

Mwanadada mjasiriamali na msanii wa bongo movies Wolper Jackline anaonkana bado kuandamwa na muzimu wa penzi la msanii wa bongo fleva Harmonize kutokana na ukweli kwamba amekuwa akirusha madogo katika mitandao ya kijamii kama vile anarusha madongo hewani na kwamba hawezi kurudiana na harmonize ilhali harmonize mwenyewe hana mpango na maneno yake.

katika ukurasa wake wa instagram , aliandika “taking you back is like trying to put a piece of shit back into my asshole#ebunipumzishenijamani…#nimeshakutoaukurututulia.

Maneno haya yanaonekana kumlenga harmonize kwa sababu kwa sikuza hivi karibuni mpenzi wa harmonize ndie aliekuwa akimtuhumu jack kuwa amekuwa akimtumia meseji za mapenzi harmonize na kwamba anaonekana kutaka kumrudia mwanaume huyo wakati mwenzake ameshaamua ku-move on.

 

Wolper Akacha Kumsapoti Harmonize Kikazi ili Kulinda Mahusiano yake na Sarah

Muigizaji na mjasiriamali Jackline Wolper amefunguka na kusema kuwa ili kulinda mahusiano yamsanii huyo basi ameamua kuacha kumsapoti Harmonize katika kazi zake za kimuziki kwa sababu inaoneana kama bado ana mapenzi na msanii huyo wakati yeye ni kama shabiki tu.

Wolper ambae hakuwahi kuonekana mwenye roho mbaya kila unapotoka wimbo mzuri wa Harmonize amekuwa akionekana kuimba na kucheza, amesema kuwa anapofanya hivyo inakuwa inaonekana kama vile bado ana hisia za kimapenzi na mwanamuziki huyo wakati yeye akishaacha amaecha.

Haya yote yanatokea pale wiki iliyopita ambapo Sarah mpenzi wa Harmonize alipomtuhumu  wolper kuwa amekuwa akimtumia  sms mwanaume wake na kuwa anaona kama Wolper anamsumbua na kumtaka mpezni wake ambapo Jacky alikanusha tuhuma hizo na kusema kuwa inawezekana kuna watu wanatumiwa na mwanamke huyo ili kumchafua.

Akiongea na sam misago, wolper anasema “mimi sio mswahili na wala sina uswahili tulianza mapenzi kwa mimi kuwa nasapoti kazi zake,lakini sasa hivi naona nisikukwaze  na nisiharibu mahusiano yako naona bora niache sababu yule mwanamke wake  anahitaji sana kuhurumiwa.’

Wolper alisema pia kuwa pamoja na kwamba ameacha kusapoti kazi lakini pia ameona kuwa ni bora kuwablock wote wawili ili kupeusha shari na watu hawa.

Wolper:-Sitaki Kabisa Hela za Kuongwa

Mwanadada msanii wa bongo movies na mjasirimali wolper jackline amefunguka na kusema kuwa kwa maisha ya sasa hivi wanawake wasitegemee sana swala la kuongwa na wanaume kwa sababu hawata kaa kufankiwa kwa sababu maisha yamebadilika na wanaume wamekuwa wagumu sana kutoa hela zao.

Wolper  amewataka wanawake wote kuanza kufanya kazi na kujituma kama alivyoamua yeye kwa sababu hela ya kuongwa na wanaume haitawapeleka kokote.

Wolper anasema kuwa sasa hivi wanaume wameshtukia swala la wanawake kuwa wanawategemea wao hivyo hawatoi hela kama zamani givyo ni bora kuwa na kazi yao inayokuingizia kipata hata kama ni kidogo.

Mambo ya kusubiri hela ya kuongwa nilishafutaga katika akili yangu kwa sasa,ndipo nilipoamua kufanya kazi kwa nguvu zangu mwenyewe maana hela ya kuongwa siitaki kabisa.- Alifunguka Jacky.

Jacky ambae kwa sasa ameamua kuwa mjasiliamal kwa kuanza kufanya biashara ya ushonaji na kujipatia wateja wengi na hata kupata pesa anasema kuwa kamwe hana muda ya kusubiria hela ya kupewa.

 

Wolper Atoboa Siri za Wakongo

Msanii wa kike bongo Jackline Wolper ambae kwa sasa pia amejikita katika ujasirimali wa mavazi amefunguka na kusema kuwa kwa kipindi hiki cha kukaa na wanaume tofauti tofauti ameweza kujifunza na kuwaelewa sana wanaume kiasi kwamba ameshajua hawezi kukaa akiwategemea katika maisha endelevu ya kila siku kwa sababu wengi wamekuwa niwaongo lakini jinsi wanavyoishi na wewe huwezi jua kuwa ni waongo.

Jackline Wolper ambae kwa muda mfupi amekuwa na kesi za mara kwa mara za kutoka na wanaume tofauti tofauti na kuachana nao anaoenaka amepata funzo kuoitia kwao kwa sababu amekuwa akishindwana nao kwa sababu ya uongo wa wanaume hao.Jackline ansema kuwa tangu ajifunza hayo ameona ni bora ajikite katika kazi na bishara zake zaidi za ubunifu.

Kuna wanaume jamani wanajua kusifu tena hasa ukimpa mwanaume wa kikongo,unajina na kuhisi kuwa dunia hii yote ni yako lakini kumbe  hakuna lolote la maana ngoma subiri sasa yeye akuchoke  unajishtukia amekumaliza kwa kila kitu na bado anakukimbia.-Alisema Jacky

Kwa maneno hayo Jack anayoogea anakuwa na uzoefu nayo kutokana na kwamba alishawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume wa kikongo ambae alifikai hatua mpaka ya kumavalisha pete ya uchumba lakini mwanaume huyo alikuja kujulikana kuwa huko alipokuwa alikuwa na familia

Jacky anasema kuwa pamoja na kwamba anendelea na kazi ya usanii lakini anajikita zaidi katika kazi za ubunifu wa mavazi , na hii yote amekuwa akiifanya kwa sababu ana ndoto za kuwa na lebo kubwa ya mavazi itakayomfanya ajulikane mbali zaidi kwa kazi zake na kuziuza hata nje ya bongo.

Jacky anasema kuwa amekuwa akiwapenda sana wadada wenye mahusiano na wanaume wa kikongo kwa sababu wanajua kusigia ingawa ni wagumu kutoa ela ila yeye ananufaika kwa sababu anavyosifiwa na mwaaume huyo anakuwa tayari kununua kitu kutoka kwake.

Hata hivyo kwa sasa hivi Jacky hajatangaza kuwa na mahusiano ya kimapezni na mwanaume yoyote tangu alipoachana na Brown.

Husna Sajent Na Wolper Mambo Safi.

Wanadada wawili waliokuwa mahasimu wakubwa kutokana na kutembea na bwana mmoja kwa sasa wameamua kuweka mambo yao sawa na kuwa marafiki kama zamani kwa sababu yule aliyekuwa akiwafanya wagombane hayupo tena.

Kitendo hichi kimejidhihirisha siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa ya mwanadada Jackline Wolper ambapo alimuhalika mwanadada huyo na alihudhuria .Husna Sajenti na Jackline Wolper walikuwa kuwa maadui wakubwa baada ya Husna Sajent kutoka kiapenzi na aliyekuwa mpenzi wake na Jackline ambapo wawili hao waligombana kwa ajili ya mwanaume huyo.

Msanii  jackline wolper

mwanaume huyo aliyejulikana kwa jina la  Mwami Radjabu  inaesemekana ni mkongo alifikia hatua ya kumvalisha pete husna sajent lakini hawakubahatika kufunga ndoa na mwanadada huyo.

Hata hivyo moja ya watu wa karibu wa Husna Sajenti alisema kuwa wawili hao waliamua kuacha kugombana kwa sabau husna tayari alishaachana na mwanaume huyo na wameona kuwa hakuna haja ya wao kugombana ukizingatia wao wote ni wanawake.

Tulishamaliza tofauti zetu,sian tofauti  wala bifu na  Jackline, maana aliyekuwa anatugombanisha ni mwanaume na hayupo tena na sisi ni wanawake  na tujifunze kuwa wanaume ni watu wa kupita. Aliongea Husna Sajent

Hii itakuwa funzo pia kwa wasanii wngine hasa wa kike ambao wamekuwa wakiingia katika mabifu hovyo hovyo kwa sababu ya wanaume bila kujali maslahi ya urafiki wao kwanza.wasani wengi wa kike wamekuwa wakiingia katika migogoro kwa sababu ya kuibiana wanaume.

Wolper Athibitisha Kuwa Single,Ni Baada Ya Brown Kukacha Kwenye Party Yake.

Msanii wa filamu nchini ambae pia ni mjasiriamali jackline wolper  amefunguka na kusema kuwa kwa sasa yupo single na hata mahusiano.jackline ambae kipindi cha nyuma alikuwa akionekana na mpenzi  wake aliyejulikana kwa jina la Brown walikuwa wakionekana kuwa katika mapenzi mazito huku Jacky akisema kuwa hawataachana hata kitokee nini.

akiongea na kipindi cha Shilawadu cha Clouds Tv, na Soudy Brown, Jackline Wolper ambae aliulizwa kwanini mpenzi wake huyo hayupo na hajatokea katika party yake, Jacky alisema kuwa hajui kwanini kakak huyo hajatokea kwenye party yake,alipoendelea kuulizwa kuhusu mahusiano yake na Brown,  Jacky alisema kuwa hayuko tayari kuongelea mahusiano hayo kwa sababu ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa kwaio hasingependa kuongelea kitu ambacho kingemfanya apoteze amani yake.

Hata hivyo  baada ya mahojiano ya muda mrefu na kuanza kumchimba kwa undani, Jackline Wolper aliamua kusema kuwa kwa sasa yupo single hana mtu katika mahusiano yoyote.

Hata hivyo kabla ya party hiyo kulikuwa na tetesi kuwa wawili hao walikuwa katika mgogoro wa kimapenzi ambapo walikuwa wakikanusha habari hizo katika vyombo mbalimbali vya habari ambapo pia Jacky alitangaza kuwa siku yake ya kuzaliwa kutakuwa na party kubwa itakayounganishwa na kuvalishwa pete kwa ke na mpenzi wake huyo.

Kutokuwepo kwa Brown katika party hiyo kulifanya watu wengi kuhoji maswali juu ya mahusiano ya wawili hao.Hata  hivyo tetesi zinasema kuwa inawezekana kutokuwepo kwa Brown ni baada ya Jacky kumkaribisha ex wake katika party hiyo ambae aliachana nae miezi kadhaa iliyopita.

 

Matukio Ya Birthday Party ya Jackline Wolper

Juzi ilikuwa ni siku ya kuzaliwa ya mrembo na mjasiriamali na pia malkia wa bongo movies anaetamba sana katika mitandao kwa sasa jackline wolper ambapo jana aliamua kufanya birthday party yake na kualika watu mbalimbali katika party hiyo na ilifanikiwa kusherekewa na wasanii na watu wake wa karibu wengi kama inavyoonekana katika matukio.

Muonekano wa Jacky kwa usiku wa jana

Amber Lulu katika red carpet

Baadhi ya wasanii akiwemo Diamond Platinumz katika kumsapoti Jacky

Steve Nyerere akiwa na Aunty Ezekiel

 

Kulia ni Diamond na aliyekuwa mke wa Barnaba(Mama Steve) , kushoto ni Barnaba na Jacky

Wasanii wenzake na Jacky wakiwa katika party hiyo