Makonda Amtembelea Pascal Cassian

Mh paul makonda amepata fursa ya kwenda kumuangalia msanii pascal cassian ambae aliamishwa kutoka hospitali ya muhimbili na kupelekwa mloganzila ambapo alipatiwa vipimo na kuanza matibabu mara  moja.

Mh paul Makonda alijitolea kumpatia matibabu msanii huyo hasa baada ya msanii huyo nafamilia yake kuomba msaada kwa watu mbalimbali kuwapatia pesa kwa ajili ya matibabu.

Hata hivyo Mh paul Makonda anasema kuwa madaktari wametoa matumaini ya kupona kwake na kusema kuwa kila kitu kinawezekana hasa baada ya kupata vipimo vyae vyote vya ugonjwa anaoumwa.

 

Mh Makonda Atimiza Ahadi kwa Mama Godzilla

Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam, Paul Makonda ametimiza aahdi yae ya kutoa pesa ya msaada kwa mama wa marehemu Godzilla shilingi milion tano ambayo alisema itaweza kumsaidia mama kufanya biashara ya duka la madawa ambalo mtoto wae alipanga kumfanyia kabla hajafariki.

Mh makonda alimkabidhi pesa hiyo msanii wa hip-hop nchini Fid q na kusisitiza kupeleka pesa hiyo kwa mama yake na godzill ana pesa hiyo ilifika kwa mama huyo huku akitoa salamu za shukurani na sala kwa mkuu wa mkoa.

Marehemu Godzill alifariki Duniani February hii 13 na kuzikwa february 16 mwaka huu, huku kifo chake kikizua gumzo na masikitiko makubwa .

 

 

 

Mh Makonda Atoa Ahadi Kutimiza Ndoto ya Godzilla kwa Familia yake

Mh mkuu wa mkoa ametoa ahadi ya kutoa kiasi cha shiling milioni tano kwa familia ya msanii marehemu Godzill Ikiwa kama msaada kwa kipindi hiki kigumu lakini pia kufidishia kiasi kidogo kwa pesa za matatibbu ya Godzilla kipindi alipokuwa mgonjwa,.

Lakini pia, Mh makonda ameamua kutoa pesa hiyo kwa ajili kusaidia kutimiza ndoto za Godzilla ambae alitaa kumfungulia mama yake duka la madawa wa ajili ya kuendeleza maisha yake baada ya kustaafu.

Hivyo basi pesa hiyo itatolewa kwa ajili ya kutimiza ndoto za marehemu ambae alitaka kumfanyia hivyo ma ayake mzazi.

Mh Makonda anasema kuwa anajua hawezi kuatoa pesa kuondoa uchungu wa kupotelewa na mtoto kwa familaia ya msanii huo lakini kwa sababu msanii huyo alikuwa na mtoto mdogo itasaidia kwa sasa familia hiyo kwa matumizi mpaka pale watakapokaa sawa.

 

 

Mh.Makonda Akerwa na Tabia ya Watu Kuzushiana Vifo.

Mkuu wa Mkoa wa jijini Dar amefunguka na kusema kuwa watu wamekuwa na tabia ya kusema mambo ya uongo hasa maswala ya kuzushiana vifo kitu ambacho kinakuwa kinaleta kukatisha tamaa hasa kama mtu ni mgonjwa.

Makonda anasema kuwa  msanii Ommy dimpoz amekuwa akiugua kwa muda mrefu sana mpaka sasa amerudi kuwa mwenye afya lakini watu wengine wamekuwa wakitangaza kuwa msanii huyo amefariki Dunia.

Mh makonda anasema kuwa watu hao hao waliokuwa wakitangaza kuwa msanii huyo amekufa  sasa hivi wako kimya baada ya kugundua kuwa  msanii huyo kwa sasa tuo vizuri na anaimba wimbo wa kumsifa bwana.

Mh Makonda anasema  kuwa endapo ingetokea kweli msanii huyo angepoteza uhai wake basi kila mtu angeweka katikamtandao RIP na kuanza kulalamika kuwa msanii huyo ameondoka bado wanamuhitaji.

 

Makonda Awapigilia Msumari wa Moto Watu Maarufu Wasiotaka Kuoa.

Kama alivyowahi kutangza hapo awali kuwa kama msanii elizabeth lulu michael hatoolewa mwaka huu na bos wa EFM bwana Majjizo basi atahakikisha kuwa anamfunga mwanaume huyo kwa kitendo cha kumchezea binti huyo na kwa kuthibitisha msema wake basi  maneno yake yalianza kutimia baada ya lulu kuvishwa pete ya uchumba.

hata hivyo kwa mara nyingne tena, mh makonda aliweka picha ya watu maarufu akiwemo mwanahabari na msomi mashuhuki bwana Lemutuz na kusema kuwa atahakikisha kuwa watu hao wote wanaoa kama kama watakaidi agizo lake  basi atawafunga.

Katika post hiyo Mh Makonda alisema kuwa watu aliwaagiza karibia wote walishatoa posa.