Ikiwa ni zaidi ya mwaa sasa tangu mh paul makonda alipotangaza kuwa muda wa kupiga matamasha na shoo mbalimbali jijini dar es asalaam itakuwa mwisho saa sita, lakini sasa imebadilika baada ya Mh huyo kusikia kilio cha wasanii na kuamua kuwaongezea muda tena.
Paul Makonda aliamua kufanya hivyo kwa ajili ya usalama wa raia na mali zao lakini ameshaona kuwa usalama na ulinzi umeimarika lakini pia kaungalia na kujalai kazi za wasanii pia.akiongea katika eneo ya wazi alipokuwa katika siku ya kazimisha kuzaliwa kwa msani Diamond Platinumz jijini katika mtaana wa Tandale, Mh Paul Makonda ameongeza na kusema kuwa kwa siku za wikiend kutaongezea mpaka saa nane .
Habari hizo zimepokelewa kwa shangwe na wasanii wote kutokana na kilio hicho kuwepo kwa muda mrefu hasa kutokana na kwamba muda uliokuwepo haukuwa unatosha kutoa burudani kwa mashabiki wao.