Mange Kimambi na Wema Sepetu Kumekucha, Waanza Kurushiana Madogo upya

Mwanadada mwanaharakati amnge kimamb na wema sepetu wameibuka uptya katika mtandao wa isntagram baada ya mwanadada wema sepetu kuonekana kukataa kusapoti maandamano ya amani ambayo yalitakiwa kufanyika siku ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Katika ukurasa wake wa instagram Wema aliandika kuwa ameshindwa kuendelea na safari yake ya kwenda marekani kwa sababu ya maandamano ambayo yaliitishwa na mwanadada huyo akitaka kuipinga serikali iliyopo madarakani  na ndipo Mange kimambi alipoamua kumjibu kwa kumuumbua kuwa sio kwamba alishindwa kusafiri kwenda marekanai kwa sababu ya maandamanao bali ni kwa sababu alifukuzwa ubalozini kama mbwa na kwamba alinyimwa visa ya kusafiria.

katika ukurasa wake Wema aliandika”tukajua kuna maandamano bhana watu mpaka tukahairisha safari ..kumbe hakuna kitu..ila utani tuweke pembeni wengi wetu tulishitushwa, but one thing y’ all have to  understand is wa moja wa moja tu aliepewa and kamwe huwezi shindana na power..”

Mange Kimambi nae akamjibu”Mdogo wangu haujakosea, ni kweli kabisa wa moja ni wa moja tu  na aliepewa kapewa tu, #teamhatuzai #teamhatunauzazi., jinakubwa lakini visa ya kwenda marekani ukanimwa, umelia kama mtoto ubalozini eti ume cancel safari , no honey you didint cancel safari walikufukuzwa kama mbwa  koko pale ubalozini..wewe marekani ichungulie kwenye movies..

Baada ya hapo mange kimambi alinedelea kwa kuweka wazi mawasilinano aliyokwa nayo mara ya kwanza kipindi yupo karibu na wema sepeyu ambapo wema sepetu alikuwa akimwambia kuwa amelazimishwa kurudi CCM kutokana na kwamba waliokuwa wakimslazimisha walimtishia kubomoa nyumba ya familia ambayo alikuwa akiishi na familia yake.

Ugomvi wa Mange na wema umekwwua wa muda mrefu sana huku chanzo cha siri bado hakijafahamika , wema hamekuwa akichafuliwa sana na mange katika kazi zao.

 

 

Wema Atuma Salamu kwa Mange Baada ya Anil kimambi Kukutana na Makonda.

Mwanadada Wema Sepetu ametuma salamu kwa Mange Kimambi mwanadada anaefanya ushawishi mkubwa katika mtandao wa instagram katika siasa na maswala mbalimbali ya kijamii baada ya kaka yake na mwanadada huyo kukutana na Mh Paul Makonda wikiend iliyopita.

Mange Kimambi na Wema walikuwa marafiki wakubwa huku Mange kila siku akisema kuwa yeye ndie aliweza kumuingiza wema katika tasnia ya urembo lakini uadui wao ulikuja baada ya Wema kuanza kutangatanga katika maswala ya siasa huku Wema akimtuhumu Wange kwa kumuibia akaunt yake ya instagram.

Hata hivyo kaka wa Mange Kimambi aliyejulikana kama anil kimambi amekuatana na mh paul Makonda na hakikuwekwa wazi kile kilichozungumzwa lakini hii inaweza kuwa kama tishio kwa Mange kutokana na ukweli kwamba inawezekana serikali imeanza vuguvugu la kumtafuta Mange kutokana na mambo yae anayoyafanya katika mtandao wa instagram.

katika ukurasa wake wa instagram, wema aliandika’ RC wangu na Anil Kimambi ..nawaona nawaoana mnafurahia tu picha ya pamoja…isome kwa sauti ya shilawadu shilawadu..naomba njiwa wangu mpelek salamu  kuleee kwa president Magu…ooops kumbe Obama…oh gosh ..i meant  to say Trump”