TANZIA”- Rapa Godzilla Afariki Dunia

Rapa bora na maarufu nchini Godzilla ameripotwa kufariki usikuwa kuamkia leo ghafla alipokuwa nyumbani kwao salasala huku bado sababu ya kifo icho ikiwa bado haijajulikana mpaka asubui hii,

Mwili wa Marehemu ulipelekwa kuifadhiwa katika hospitali ya lugalo jijini dar kwa ajili ya kusubiri tarartibu za mazishi pindi familia na wanandugu watakapo kubaliana.

download latest music    

Rapa godzilla anaacha pengo kubwa sana katika muziki wa rap na muziki kwa ujumla Tanzania kutokana na ufanyaji wake kazi na changamoto aliyokuwa akileta kwa wasanii wenzakke,Godzilla aliweza kufanya kazi na wenzake kwa kujituma na kwa upendo akiamini kuwa hiyo ndio njia ya kukuza muziki nchii.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.