Baada ya Uokovu,Tatoo Zinamtesa Munalove .

Msanii wa maigizo nchi, Muna Love amekiri kuwa tatoo alizochora mwilini mwake kipindi hajaokoka zimeanza kumtesa kwa sababu hata mtoto wake wa kiume amekuwa akimpigia kelele kila siku kuhusu kuziondoa tatoo hizo.

Muna ambae mara ya kwanza alikuwa katika mambo ya kidunia na baadae alipata matatizo makubwa yeye na mwanae yaliyoyafanya kuokoka na kumrudia mungu, anasema kuwa  anatamani kuzifuta tatoo hizo na kuondoa kabisa.

download latest music    

Mtoto wa kiume wa Muna ambae pia ameokoka amekuwa akimsumbua mama yake huyo kuzifuta tatoo hizo  kwani zinaenda kinyume na maadili ya uokovu.

                                           

                                                 Muna akiwa na mtoto wake.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.