Tin White Awaponda JB na Wema Sepetu.

Mchekeshaji maarufu bongo Tin White ameibuka na kumchana wema sepetu pamoja na JB  kwamba sio wasaniiwa ukweli ila washukuru mungu kwa kufika hapo walipo sasa kutokana mitandao ya kijamii mbayo imekuwa ikiwakuzia majina yao.

Tin White ameongea hayo alipokuwa akihojiwa katika kipindi cha eNews,baada ya kuwepo kwa wimbi la wasaini wengi kwa sasa ambao wamekuwa wakiingia katika sanaa bila kupitia vyuo vinavyohusiana na sanaa hivyo wamekuwa wakiharibu tasnia hii ya sanaa.

download latest music    

Unajua kuna kipaji yaani hiyo ni reality kabisa lakini pia kuna muongezo wakina kanumba walikuwa wanafanya kwa  vipaji  vyao vyenyewe tu lakini hawa wakina wema sepetu  walikuja tu kujaribu hao sasa ndo wa kuongezea .

mimi naongea ukweli kabisa  kutokana na mitandao ndo maana wakina Wema Sepetu wameweza kuitika  lakini hana reality yoyote ile.Hata huyo JB hakwa na historia ya kuwa msanii  alikuwa anauza mahindi ila yeye alilazimishwa na Single Mtambalike ili awe msanii siongei kwa ubaya ila naongea jambo la ukweli kabisa.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.