Tulirekodi Video, Niliona Jambo la Kawaida ;-Mpenzi wa Ambaer Rutty

Mwanaume aliyejitambulisha kuwa yeye ndie mpenzi wa Amber Rutty ambae alionekana katika video mbalimbali chafu zilizokusambaa mtandaoni wiki iliyopita amefunguka na kukiri kosa lake na kusema kuwa ni kweli kuwa walikuwa wakirekodi uchafu huo na mpenzi wake Amber Rutty lakini hakuwahi kuwaza kama inaweza kutokea kama ilivyotokea.

Mwanaume huyo anasema kuwa wakati wanarekodi alikuwa akiona kuwa ni jambo la kawaida ukizinatia kuwa simu ilikuwa ya kwake na hakuna ambae angeweza kusihika lakini kwa bagat mbaya alipotez simu wiki chache zilizopita na kusababisha yote hayo.

download latest music    

ni kweli tulirekodi video, lakini nilijua ninkawaida tu , tulikuwa tunachukulia poa kwa sababu sisi ni wapenzi na simu yangu hakuna mtu anaishika.ila wiki hizi mbili tautu kuna sehemu nilikuwa ninaenda nikaangusha simu kweny bodaboda na nahisi huyo aliokota simu yangu ndio anavujisha picha na video hizi.ninaomba radhi kwa sababu sikujua yote haya.

Wiki iliyopita baada ya kuvuja kwa picha hzio mtu wa kwanza kuulizwa aliuwa Amber Rutty ambae pia alisema kuwa hakujua kama jambo hilo litatokea na ni kweli vidoe zile walikuwa wakijirekodi yeye na mpenzi wake.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.