Tunda Atupa Jiwe Gizani Likimlenga Casto Dickson.

Mwanadada casto dickson ametupa jiwe gizani lakini jiwe hilo linaonekana kuwa na lengo la kumpiga Casto dicksona ambae alikuwa mpezi wake na kwa sasa wamekuwa hawaonekana kuwa pamoja tena kitu ambacho hata Casto mwenyewe amekuwa akikanusha kuwa hawajaachana lakini Tunda hajawahi kuongea kuhusu swala hilo.

Casto mabae mara nyingi amekuwa hataki kuonyesha wazi kuwa ameachana na Tunda amekuwa akikanusha swala hilo katika mitandao na hata anapokuwa katika mahojiano mbalimbali.

download latest music    

Katika ukurasa wake wa instagram, tunda aliweka picha yake huku akiwa ameandika caption yenye aneo kuntu kuhusu mahusinao hasa kwa watu walioachana huku mmoja wapo akionekana kutokubaliana na kuachana kwao.

Mwisho kabisa Tunda aliandika kuwa ukiachwa achika ikiwa kama ujumbe kwa mwanaume aliyekuwa nae katika mahusiano ambapo kwa hapa karibuni tu nda alikuwa katika mahusiano na Casto.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.