Tuzo Haziendi kwa Jina Wala Historia Yako :-Nikki wa Pili

Msanii wa bongo fleva nchini Nikki wa Pili nae ameamua kufunguka na kuzngumzia swala la tuzo linalozungumziwa na kila mtu katika mitandao ya kijamii.

Tuzo za sinema zetu ambazo zilitolewa wikied iliyopita na kuwaa cha watu midomo wazi hasa baaada ya kupatiwa tuzo hizo watoto wadogo ambao ndio wameingia  katika tasnia muda sio mrefu.

download latest music    

Watoto hao ambao walishindwanishwa na wasaniii wengine wakubwa na wenye vipaji vya muda mrefu , walichukua tuzo hizo na kuwaacha wasanii wakubwa wakitokwa na mapovu ya kukataa kulinganishwa na watoto wadogo.

Hata hivyo baada ya tuzo hizo, wasanii waliongea kila mtu la kwake na kusema kuwa watoto hao walitakiwa kuwekwa katika kategoria ya kwao na sio kama za wasanii wakongwe,

Akiongelea kwa mtazamo wake, mwanamuziki huyo alisema kuwa hakuna tuzo zinazotolewa kwa sababu ya jina au ukubwa wa umri wa mtu bali ni tathmini ya kazi uliyoifanya kwa muda fulani.

Anasema “tuzo haziedi kwa jina wala historia yako, ukubwa au kwa yale uliokwisha fanya….tuzo hupima kile umefanya kwa mwaka husika.”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.