Ujumbe wa Rc Makonda Baada ya Babu Tale Kurudihswa Rumande

Ikiwa kesi ya Babu Tale bado haijaisha  na bado anaendelea na misuko suko ya kuwekwa rumande kutokana na kesi yake ya madai baada ya kuonekana kumdhulumu moja ya masheikh jijini Dar  baada ya kuvunja makubaliano yao ya biashara.

Hata hivyo Babu tale aliwahi kuitwa mara kadhaa mahakamani lakini alikuwa akikaidi agizo hilo la mahakama , hivyo hata alipolekwa mahakamnai siku za hivi karibuni na kushindwa kuayazungumza mambo kadhaa na anaemdai, Babu tale alitakiwa kurudi tena rumande kwa sababu naibu msajili wa mahakama kuu ambae alikuwa akitoa amri za kukamatwa kwake hayupo yupo likizo hivyo anatakiwa kumsubiri mapaka atakapo rudi.

download latest music    

Katika kuonyeshwa kuguswa na kufatilia yale yanayomkuta baba tale na akiwa kama mlezi wa lebel ya wasafi, kuu wa mkoa wa Dar, Paul Makonda aliweka  caption hii katika ukurasa wake wa instagram huku akiwa ameweka picha ya Babu tale.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.