“Usikubali Kuwa Mtumwa Wa Mapenzi”- Uwoya

Msanii wa Bongo movie Mrembo Irene Uwoya amefunguka kwa kutoa ujumbe mzito wa Kimapenzi na kuwasaidia watu wasikubali kugeuzwa watumwa wa mapenzi.

Irene Uwoya na mume wake Dogo Janja wamekuwa wakitrend sana Kwenye mitandao ya kijamii na tetesi za kuvunjika kwa ndoa yao na siku ya jana Uwoya kufichua kwamba mume wake huyo amewahi kuchepuka Kwenye ndoa yao.

download latest music    

Siku ya jana Uwoya ameibua maswali mengi mara baada ya kuweka ujumbe Kwenye ukurasa wake wa Instagram ulioibua maswali na kuonekana kama ni dongo kwa ndoa yake mwenyewe.

 

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.