Uwoya Ajutia Kuolewa na Mwanaume Asiempenda

Mwanadada Irene Uwoya amefunguka na kuonyesha kuwa mwenye majuto hasa kutokana na ndoa yake iliyovunjia hivi karibuni na kusema kuwa anajutia sana kuolewa na mwanaume ambae hakuwa na mapenzi naye kutoka moyoni.

Irene ambae alishapita katika ndoa mbili tofauti, hakuwahi kuonyesha kujutia au kusema maneno mabaya kuhusu ndoa yake ya mwanzo lakini amekuwa mwenye maneno mengi sana hasa baada ya kuvunjia kwa ndoa yake na Dogo janja.

download latest music    

Ndoa hiyo iliyowahi kuvunja rekodi ilipokuwa inafungwa na hata ilipouwa inavunjika inamfanya Irene kujutia na kusema kuwa anatamani hata kumwambia kila mwanamke kutokusuthubutu kuolewa na mwanaume ambae hayupo katika mioyo yao.

Jamani wanawake wenzangu , hakuna kitu kinauma kama kuolewa na mwanaume ambae hayuko moyoni mwako ni mateso makubwa , hii ilishanitokea na ndio maana ninawasihi, msijaribu kufanya hivyo.Ukitaka kuifurahia ndoa yako olewa na mwanaume unaempenda

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.