Uwoya Awapa Pole Waliosema Picha yake Mpya ni Mbaya Mitandaoni
Kumekuwa na picha iliyosambaa katika mitandao huku wengi wakiiisema picha hiyo kwa mitazamo tofauti kuwa haina maadili na kwamba mwanadada ireen uwoya yuko uchi kutokana na picha hiyo inayoonesha maungo yako.
Baada ya picha hiyo kusambaa sana kila mtu aliweza kuongea lake lakini Irene Uwoya mwenyewe aliamua kuwajibu na kuwatolea povu katika mtandao kwa kusema kuwa watu wamekuwa wakimsema kwa kila anachokifanya mpaka anashindwa kuua ni kitu gani bora cha kuweka katika page yake ili kiwafurahishe mashabiki wake.
ukivaa ngu kawaida ooh ana kidogoro,nikimpost mume ooh ana kigodoro,nisipompost kwanini haumpost haumpendi ..nikivaa nguo ya ufukweni niko uchi mimi mke wa mtu…sasa nasema poleni sana kwa wale iliyowauma..siku nyingine nitawashirikisha nikitaka kupost-Aliandika Irene katika ukurasa wake wa instagram.
Baada ya hapo alitafutwa na leo tena ya clouds tv na kusema hivi “sijaona tatizo kwa sababu nimevaa nguo hii na nimeenda ufukweni,pale nilikuwa ufukweni labda waniambie walitaka nivae nini’