Uzuri Wangu Haujanibeba Kimuziki- Malaika

Msanii wa muziki wa Bongo fleva aliyewahi kutambana kibao cjha ‘Rarua rarua’ Diana Exavery maarufu kama Malaika amefunguak an kudai uzuri wake haujasababisha mafanikio aliyopata kwenye muziki.

Katika interview aliyofanya na Global PublishersMalaika alisema kuwa anajitambua kuwa yeye ni mzuri lakini anajitahidi kufanya kitu kizuri hata kama akikaa muda mrefu bila kutoa nyimbo lakini kutokana na msingi mzuri aliojiwekea tangu mwanzo hawezi kuanguka kama inavyokuwa kwa wanamuziki wengine.

download latest music    

Unajua hata uwe mzuri kiasi gani kama huna bidhaa nzuri sokoni ni kazi bure lakini uzuri ni kwamba uwe mwanamuziki wa kike mrembo halafu pia uimbe nyimbo nzuri kwa mashabiki wako hapo hata uzuri wa sura yako utaonekana na kukusaidia”.

Lakini pia Malaika amekana tetesi za kuacha muziki bali ameamua kupumzika wakati akijipanga kwa ajili ya kazi yake mpya siku za mbeleni.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.