Vannesa Mdee Aelezea Mauzo ya Album Yake.

Mwanadada Vannesa Mdee maefunguka na kuelezea jinsi album yake mpya ya Money Monday inavyofanya vizuri tangu imetoka mpaka sasa hivi.Vannesa ambae ndie msani wa kwanza wa kike kuwa na album na kuzunguka nchi nyingi kwa ajili ya kufanikisha upatikani na ujulikananji wa album yake hiyo amesma kuwa mpaka sasa album yake imekuwa ikifanya vizuri ingawa wapo baadhi ya watu wamekuwa wakimvunja moyo kwenye swala hilo.

Akiongea katika kipindi cha Friday Nite Live kutoka EATV na Sam Misago vannesa anasema kuwa  namshukuru mungu mashabiki wake wameipokea vizuri sana album hiyo na anaendela kuwaomba wazidi kumpa sapoti.

download latest music    

mauz yanaenda sana kwakweli na nimeshaajabu sana kuhusu swala la mauzo,na nimefurahi sana kuona kuwa watu kibao wameipokea alum yangu vizuri sana.its fun kuona kuna baadhi ya watu wapo na wanataka kunivunja moyo.mimi naenda bar nauzi cd mwenyewe nakutana na watu wananifukuza  wananiabi album zimepitwa na wakati.-Alifunguka Vannesa Mdee.

vannesa bado anatoa shukrani sana kwa mwaka 2018 kwa mashabiki wake ambo wamekuwa wakimsapoti sana katika kazi zake tena hasa mapokezi mazuri ya album yake hiyo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.