Vazi la Suti Kwa Wanawake Lilivyowatoa Mastaa Hawa

Imezoeleka kuwa vazi la suti ni kwa ajili ya wanaume tu na sio vazi lililozoeleka sana kuvaliwa na wanawake lakini sio kwa dunia ya sasa ya usawa.

Vazi la suti linaweza likamtoa vizuri mwanamke endapo tu atalivaa kwa usahihi na kushonwa kwa ufundi zaidi.

download latest music    

Baadhi ya mastaa kama Zari, Jokate, Amber Lulu Irene na Fahyma wamelivaa vazi hili la suti na naomba niseme tu nimevutiwa na uthubutu wao kwani kama tunavyojua fashion is all about taking risks na kuangalia kama utapendeza.

Hawa ni baadhi tu ya mastaa wa kike wakiwa katika mavazi yao ya suti:

1. Jokate Mwegelo

 

2. Amber Lulu

 

 

3. Zari the Bosslady 

 

4. Irene

 

 

5. Fahyma

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.