Vee na Jux ni Beyonce na Jay -z Wetu wa Bongo ;-Mimi Mars

Moja ya wanafamilia kutoka katika lebel ya Mdee Mimi Mars amefunguka na kusema kuwa kwa upande wake nawaona Vannesa Mdee na Jux ni kama beyonce na jay z wa tanzania kutokana na vile wanavyowea kuweka mahusiano yao vizuri lakini pia kuweka kazi zao zikaenda kama kawaida.

Mimi Mars ameyasea hayo alipokuwakatika show fupi ya uzinduzi wa tour yao itakayoanza hivi karibuni ikiwahusisha Vannesa na Jux kwa pamoja na kuznguka baadhi ya mikoa ya Tanzania kwa pamoja.Akijibu swali ambalo wengi wamekuwa wakisema kuwa wawili hao  hawawezi kudumu kwa sababu wanachanganya kazi na mapenzi  mimi mars anasema

download latest music    

Mimi ninaamini sana katika mapenzi na kazi kwa sababu ukiangalia hata wale wenzetu wa kule nje, kama beyonce na jay z pia wako hivyo kwaio na mimi nawaona kama ndio beyonce na jay -z wetu wa tanzania na ninaamini kwa kuwaona tu watafika mbali lakini mimi personally nisingependa kufanya kazi moja na mtu niliyenae katika mahusiano.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.