“Vijana Kuweni Makini na Mitandao Ya Kijamii”- Shamsa Ford

Muigizaji wa Bongo movie Shamsa Ford ameibuka na kuwapa ushauri vijana wanaotumia mitandao ya kijamii ambapo amesema wanatakiwa kuwa Makini.

Shamsa Ford amewataka vijana kuwa Makini na Mitandao ya kijamii kwani endapo wakitumia vizuri basi itawajenga Lakini pia wakiitumia vibaya basi itawabomoa.

download latest music    

Lakini pia Shamsa amewataka vijana wasiige sana maisha ya mastaa mitandaoni kwani wengi wao hawaishi maisha yao halisi bali wanafeki ili waonekane wako juu mbele ya jamii.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Shamsa Ford aliandika maneno haya:

https://www.instagram.com/p/BsVVBdplIr9/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1ml10y2bkype2

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.