Vijana Wawe na Upendo kwa Wazazi wao Kama Godzilla :-Mama Godzilla

Mama mzazi wa marehemu Godzilla amefunguka na kutoa shukurani zake kwa watu wote waliohudhuria msiba wa mtoto wake na kujitoa kwa hali na mali katika kipindi hicho kigumu walichokuwa wakipitia na familia yake.

Mama huyo anasema kuwa Mungu ndie pekee anaweza kuwalipa wale wote walioguswa na msiba  huo  na kuamua kuungana na familia kwa ajili ya umpumzisha mtoto wake.

download latest music    

Hata hivyo mama huyo pia ametoa ushauri kwa vijana  kuwa na upendo na wazazi wao atika kipindi chote cha maisha yao kwa sababu kwa upande wake , alikuwa akipendwa sana na mtoto wake kiasi wamba msiba huo ulimuumiza sana na kumpa kidonda.

Mama anasema uwa God alikuwa mtu wa kumuuliza mama yae kila kitu alichokuwa akifanya na umtaka mama yake kusihi kwa amani na kufurahia kila kitu katika maisha yae na ndio maana hiyo ilimfanya kuumia sana.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.