Najipendekeza Wasafi ili Niwe Msanii Wao :-Amber Lulu
Mwanadada Amber Lulu amefunguka na kusema kuwa kwa siku nyingi amekuwa akitamani sana kufanya kazi na wasanii wa kundi la WCB kutokana na kujituma kwao kufanya kazi lakini pia kwa kazi zao nzuri ambazo kila mtu amekuwa akiziona .
amber lulu anasema kuwa na ndio maana amekuwa akikaa karib na WCB ili kujipendekeza ili siku moja wamuone ka kumchukua kama msanii wao.
“wasafi wanajituma sana na wanajua sana muziki, na ndio maana najipendekeza ili niwe msanii wao, magari yale yananitia sana uchizi.