Wakati Wengine Wakimsema Vibaya, Faraja Amfariji Wema.

wakati baadhi ya watu na hata wasanii wenzake wakimsema na wakitaka mwanadada Wema Sepetu achukuliwe hatua za kisheria na kinidhamu pia, mwanadada   Faraja Nyarandu amefunguka na kuonekana kuguswa na yanayoendelea katika maisha a mwanadada wema na kumfariji kwa hili analolipitia kwa sasa.

Akiwa kama moja ya ma-miss waliopita na kufanikiwa sana lakini pia kujiweka mbali  na mambo yanayiweza kuchafua historia yake, faraja amaemuombea wema ujasiri na pia Mungu amuongoze  na kumtoa katika anayoyapitia.

download latest music    

Faraja aliandika ‘sote ni wakosefu mbele zake, I believe in the power of redemption, i beleieve in second chance, lets us forgive and  be forgiven, nimekuwaza kwa sauti mdogo wangu wema ,Mungu atupe neema zake.”

Faraja na kundi lake la ma-miss miaka ya nyuma kidogo wamekuwa kundi bora la wanawake waliopitia katika ulimwende na kufanikiwa katika maisha yao na jamii zinazowazungiuka kwa ujumla huku watu wengi wakimpigia kelele wema kufuata mfano wao.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.