Wakikupa hi Tu Wablock :- Rayvanny Amuomba Fahyma

Msanii kutoka kundi la wcb Rayvanny ,  amefunguka na kumuomba mama mzazi wa watoto wae fayma kuwa muaminfu na hata kama atatokea mtu kumtaka na kumtongoza basi akatae kabisa naikibidi amblock wala asimsikilize anataka nini.

Rayvanny na mama watoto wake wamekuwa kwenye mahusiano kwa muda mrefu sasa na hata kupitia mambo mengi ikiwa pamoja na kukaa mbali kila mtu kwa muda kutokana na ugomvi unaotokea katika mahusiano lakini wawili hao mpaka sasa wameweza kuwa pamoja.

download latest music    

hata hivyo Rayvanny tayari alishamtambulisha mwanamke wake nyumbani ingawa hawajafunga ndoa lakini alisema yuko mbioni kufanya hivyo, kupitia ukurasa wake wa instagram  Rayvanny alimumba mama huyo kwa kusema “itaniuma sana siku pumbavu wakiniibia, …mama jilinde ukipewa hii tu wewe bulooock …”

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.