Wanakamati Wengi Hawana Passport , Saizi Wamepanga Foleni NIDA ;-Babu Tale

Meneja wa msanii babu tale amefunguka na kusema kuwa pamoja na kwamba walitoa aahadi ya wasanii waliokuwa katika kamato  ya shughuli ya Zamaradi wanatakiwa kwenda afrika ya kusini kwa ajili ya party ya Tiffah lakini wanashindwa kwa sababu wasanii wengi waliokuwa katika mamati hawana passport za kusafiria.

Moja ya wasanii walijihakikishia uhakika wa safari ni pamoja na Shiloleh ambae yeye alisema kuwa tayari alishaombwa passport yake na daiamond na  tayari imekwisha shughulikiwa hivyo anasubiri safari.

download latest music    

Tatizo kinachokwamisha wanakati wengi hawana passport za kusafiria mpaka sasa wanapanga foleni NIDA wapate vitambulisho vya utaifa ili wakapate passport na nina wasiwasi hata Wema Sepetu passport hana.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.