Wanaokuombea Mema Wako Wachache-Ujumbe Wa Makonda kwa Lulu.
Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salam Paul Makonda amemuandikia ujumbe mzito msanii lulu michael katika siku ya kumbukumbu wa kuzaliwa amabyo kwa upande wak hatoweza kuisherekea kutokana na kuwepo gerezani akitumikia kifungo chale cha miaka miwili baada ya kukutwa na hukumua ya kuua bila kukusudia.
Katika siku hii ambayo ndugu wa lulu waliamua kusherekea siku hiyo wakitoa zawadi na misaada katika hospitali ya Muhimbili kama moja ya kumuombea msanii huyo , Paul Makonda aliamua kutuma ujumbe huo hata kama hatoweza kuuona kwa sasa ila unaweza kumfikia.
kumbe wanaokuombea mema wako wachache ila wenye nyusoza huzuni wako wengi sana japo hawamaanishi.kwa kuwa mungu ametenda watakuja tena na nyuso zao za furaha japo hazina uhusiano na mioyo yao.kwa kifupi hii ndio dunia ambayo mungu amkuongezea mwaka mwingine wa kuishi.Happy birthday mwanangu @elizabethlulumichael
Lulu alifungwa baaada ya kukutwa na hatia ya kusababisha kifo cha marehemu Kanumba ambae alikuwa ni mpenzi wake.