Wanawake Wazuri ni Vigumu Kuolewa :-Ester Kiama

Msanii wa maigizo Ester Kiama amefunguka na kusema kuwa kwa upande wake amegundua  kuwa wanawake wazuri  wamekuwa wagumu sana kuolewa kuliko wale  wenye sura mbaya na wale  ambao hawana maumbo mazuri.

ester anasema kuwa mara nying sana amekuwa akijiangaliakwenye kioo kila siku anapoamka asubui lakini kitu cha ajabu ni kwamba haoni kasoro yoyote ya kumfanya mwanaume kushindwa kumuweka ndani au kufanya uamuzi wa kumuoa.

download latest music    

Najiulizaga akwanini wanawake wazuri hawapati wanaume, hata mimi nimekwa nikijiuliza kwanini sipati mume wa kunioa,  na kuamua kuniweka ndani? —-Alisema Ester Kiama alipokuwa akiongea na GPL.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.