Wanawake Wazuri ni Vigumu Kuolewa :-Ester Kiama
Msanii wa maigizo Ester Kiama amefunguka na kusema kuwa kwa upande wake amegundua kuwa wanawake wazuri wamekuwa wagumu sana kuolewa kuliko wale wenye sura mbaya na wale ambao hawana maumbo mazuri.
ester anasema kuwa mara nying sana amekuwa akijiangaliakwenye kioo kila siku anapoamka asubui lakini kitu cha ajabu ni kwamba haoni kasoro yoyote ya kumfanya mwanaume kushindwa kumuweka ndani au kufanya uamuzi wa kumuoa.
Najiulizaga akwanini wanawake wazuri hawapati wanaume, hata mimi nimekwa nikijiuliza kwanini sipati mume wa kunioa, na kuamua kuniweka ndani? —-Alisema Ester Kiama alipokuwa akiongea na GPL.