Wanja Umenipa Heshima na Kazi-Ebitoke

Mwanadada mchekeshaji kutoka timamu Ebitoke  ameweka siri ya mafanikio yake katika kazi na kusema kuwa  tabia yake ya kipekee na ubunifu wa kupaka wanja wa kuukoleza ndio uliompa kazi, jina na ajira katika tasnia ya maigizo.

Ebitoke anasea kuwa yeye hawezi kufanya make up kama watu wengine wanapokuwa katika lication kwa sababu wanja ndio kitambulisho chake kikubwa katika kazi yake, na kusem akuwa endapo atabadilisha aina ya kujiremba na kuanza kupaka tofauti basi atasahaulika kabisa.

download latest music    

Ninauheshimu sana wanja kwa sababu ndio ulionipa maisha ,hata akaunti yangu ya benki inafanya vizuri sana na nimetimiza ndoto zangu nyingi tu kwasababu ya huu wanja ingawa watu watakuwa hawauelewi.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.