Wasafi Wasaliti Amri, Waamua Kufuta Wimbo wao You Tube.

Baada ya kukaa muda mrefu bila kutaka kufuata taratibu na maagizo ya BASATA , wasafi wameona haitakuwa vyema kuendelea kukiuka taratbu na maagizo ya uongozi huo hivyo kuamua kufuta wimbo wa MWANZA  katika channel yao ya you tube.

Tamko hilo ambalo lilitolewa mapema November 12 na katibu mtendaji kwa kufutwa kwa wimbo huo kutokana na kukosa kwa maadili tya wimbo huo lakini wasanii hao walikaidi, baada ya hapo  walikuja kupokea faini nyingine ya milion 9 ikiwa kama kosa la kukiuka kufuata maagizo ya BASATA.

download latest music    

Siku ya November 13 , wasanii waliamua kutekeleza agizo hilo na kufuta wimbo huo katka akaunti yao ya you tube,

Wimbo huo ulifungiwa ukiwa tayari umefiksha views zaidi ya milion moja katika chaneli hiyo ikiwa una siku mbili tu jambo ambalo sio la kawaida na ni ndogo ya wasanii wengi kufanikiwa hivyo katika maisha ya muziki.

Hata hivyo wimbo huo umefungiwa  baada ya kuonekana umetrumia amneno yasiyokuwa tasfiri kuwa na ushawishi wa kingono katka jamii.

Hata hivyo wasanii rayvanny pamoja na damond waliandika waraka mrefu kwa uongozi wa BASATA wakitaka wimbo huo kutokufungiwa au kupigwa katika channel mbalimbali usiku tu lakini BASATA wamekataa maomb hayo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.