Wasanii wa Kike Inabidi Tubadilike:-Linah

Msanii mkongwe wa bongo fleva nchini amefunguka na kuwaambia wasanii wa kike kuwa ili kuendelea kimuziki inabdi wabadilike na kukubali changamoto ili kuweza kuendelea.

inaha anasema kuwa wasanii wengi wa kike wamekuwa na tabia ya kuogopa kuthubutu au kuwa na aibu ya kufanya kitu flani kwa kuhofia kuangaliwa wa jamii aua watu wanaomzunguka lakini ili kufanikiwa ni lazima kujitoa na kuji-brand ili kufanikiwa.

download latest music    

Akiongeana na Clouds e ya Clouds Tv, Linah anasema kuwa wasanii wengine wa kike wamekuwa wakitaka kukaa wao katika nafasi hizo, wamekuwa wanaoneana wivu  kwa kushindwa kuwavuta au kuwaachia na wasichane wengien kuwa pale walipo wao.

Linah anasema kuwa wasanii wa kike inabidi waige mfano wa wasanii wkaubwa wa kike kutoka nje , hakuna madaraja ya msanii mkubwa wa kike kuliko mwingine na hiyo yote ni kwa sababu wamekuwa wakisaidiana na  kuvutana kutoka chini.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.