Wastara Sajuki Atangaza Vita na Mange Kimambi

Muigizaji wa Bongo movie mwanamama Wastara Juma maarufu kama Wastara Sajuki ameingia katika sintofahamu na Mwanaharakati wa siasa mtandaoni Mange Kimambi.

Sakata kati ya Wastara na Mange Kimambi lilianza siku za nyuma mara baada ya kumtuhumu Wastara kwa Kula pesa za Michango ambayo alichangiwa na wananvhi kwa ajili ya kufanyiwa matibabu nchini India.

download latest music    

Siku ya jana Kwenye mahojiano aliyofanya na kituo kimoja cha habari, Wastara alimmwagia povu zito Mange na kudai aliumizwa na madai yake ya kwamba alikula pesa za Michango na kusema Yupo Tayari kupambana naye kwani amemchafulia jina.

Asubuhi ya leo Mange aliandika Kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa akipata muda lazima atampa kichambo Wastara na mara moja Wastara akajibu mashambulizi na kusema anamsubiri kwa hamu:

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.