Watanzania Walioshinda Tuzo za Africa Entertainment Awards USA 2018

Rayvanny amefanikiwa kuchykuwa tuzo katika kipengele cha Best vocalist of the year 2018

download latest music    

Diamond amefanikiwa kuchukua tuzo mbili ambazo ni  Best collaboration of the year katika wimbo wa  African beauty aliofanya na Omarion na nyingine ni msanii bora wa mwaka wa kiume.

Nandy pia amepata tuzo katika kipengele cha Best female artist of the year 2018

Dj wa msanii maarufu Diamond, anaejulkana kama Rommy Jones amepata Tuzo ya best Dj of the year

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.