

by Diana
Msanii wa muziki wa Bongo fleva kutoka katika label ya WCB, Queen Darleen ameibuka na kuweka wazi sababu za kupendelea kuimba nyimbo za mapenzi.
Queen Darleen amesema anapenda sana kuimba nyimbo za mapenzi kwa sababu Watanzania wanapenda sana mapenzi kuliko kula kwaiyo nyimbo za mapenzi zimekuwa na soko zaidi Bongo.
Kwenye mahojiano aliyofanya na Bongo 5, Queen Darleen ameweka wazi kuwa wasanii wengi Bongo soko lao lipo kwenye nyimbo za mapenzi ndio maana hata ukiangalia nyimbo hizo ndizo zinafanya vizuri zaidi.
Unajua Watanzania wanapenda sana Mapenzi kuliko kula kuliko hata kufanya kazi ndio maana nyimbo za mapenzi zinafanya vizuri zaidi kwenye Bongo fleva na ndio maana wakina Mbosso, Lavalva wanafanya vizuri na Diamond Mpaka leo yupo kwenye chati kisa nyimbo za mapenzi “.
Queen Darleen amesema anatamani Label ya WCB isaini Msanii wa kike ili yeye apate chagamoto ya kufanya kazi nzuri zaidi.
Comments
Leave a Reply
in Entertainment

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.
Recommended Posts

Ruge Amekuwa na Nafasi Nyingi Sana Katika Maisha Yangu :-Nandy
February 22, 2019

Video iliyomuonyesha SNURA akilia yazua Gumzo
February 22, 2019
Msaini Nandy
Tafadhali mkikata chukua msanii wa kike mchukueni Amber Lulu manake mziki wake nautambua sana
Si uwongo watanzania wanapenda sana mapenzi
Sasa basi mtaimba nini kingine cha maana