Wema Achafua Hali ya Hewa na Video Yake Chafu

Mwanadada Wema sepetu amechafua tena hali ya hewa katika mitandao ya kijamii baada ya video chafu akiwa na mwanaume aliyetangaza kuwa ni mume wake wakiwa faragha na kuonyesha uchafu wao hadharani kitu ambacho hakikupaswa kuwa sahih kwa wema .

Video hiyo ambayo imesikitisha mashabiki wengi ukiachana na hapo awali  ilipovuja siri kuwa Wema amekuwa na mahusiano na Dogo janja,  mashabiki na wote wanaompenda wema wameonekana kukatishwa tamaa na msanii huyo kutokana na ukweli kuwa hawakutegemea kitu kama icho kingewezwa kufanya na msanii huyo ambacho kipo kinyume na maadili.

download latest music    

Hata hivyo kwa wema amekuwa akionekana hajakli swala hilo wala mamo yanayosemwa katika mitandao juu yake.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.