Wema Adaiwa Kukimbia Nyumba, Majirani Wafurahi Kupunguziwa Kero.

Akiwa bado anakumbwa na majanga kibao, mwanadada wema sepetu ameripoti wakukimbia nyumba anyokaa kwa madai kuwa ameshindwa kueledelea kulipo kodi katika nyumba hiyo aliyokuwa akikaamaeneo ya salasala.

Gpl, lilipokua likiongea na watu wa karibu , majirani zake wanasema kuwa ni afadhali mwanadada huyo kuwa ameondoka katika mtaa huo kwa sababu amewapunguzia shida walizokuwa wakizipata kila mara.

download latest music    

Baada ya kutaka kuthibtisha habari hizo, GPL waliamua kwenda alipouwa akikaa wema na  hawakufanikiwa kukutana na Wema bali majiran zake ambapo moja ya majirani hao alisema kuwa ni kweli Wema alihama nyumba hiyo usiku wa jana yake mida ya saa mbili alipokuja na gari na kubeba kila kitu chake cha ndani.

Majirani hao wanasema kuwa wamefurahi sana kuhama kwa wema kwa sababu yeye pamoja na marafiki zake walikuwa ni watu wneye fujo na vurugu wakianza mtaa mzima unakuwa hauna amani, na hata serikali yao ya mtaa imefurahi kupungziwa kesi mtaani gapo.

Akizungumza na waandishi wa habari, mjumbe wa mtaa huo wa salasala ansema kuwa amekuwa akimfahamu wema lakini amekuwa akishangazwa sana na tabia zake na hata kulipokuwa kukitokea tatizo wema amekuwa hajihusishi na kitu chochote katika mtaa huo lakini pia hakupata taarifa za kuhama zaidi ya kuona vyombo kwenye gari likibeba vitu kutoka ndani.

Mjumbe huyo anasema kuwa hata alipohamia hakuwa amejitambulisha kwa uongozi owowte hivyo na wao hawakutaka kumfatilia sana kwa sababu hakufata utaratibu,lakini hata alipokuwa akifanya vurugu mara nyingi amekuwa akitumiwa ujumbe na hakuwahi kufika kwa mjumbe na hata mlango wake haukuwa ukifunguliwa zaidi ya kuongea na mlinzi katika kitobo getini.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.