“Wema Anasumbuliwa na Pepo La Ngono”- Mwijaku

Muigizaji maarufu wa Bongo movie anayejulikana kama Mwijaku ameibuka na kudai kwamba Msanii mwenzake Madam Wema Sepetu anasumbuliwa na pepo la ngono.

Mwijaku amefunguka hayo alipokuwa anaongelea skendo inayomuandama Wema Sepetu hivi sasa ya kusambaa kwa picha na video akiwa faragha chumbani na mpenzi wake anayeitwa PCK.

download latest music    

Kwenye mahojiano na Millard Ayo, Mwijaku ameibuka na kudai anaamini kabisa Wema atakuwa na pepo la ngono kwa sababu mambo anayofany sio ya kawaida kabisa:

Wema inawezekana sio umaarufu wake unaomsumbua kuna kitu kingine tu kinamsumbua nacho ni pepo la ngono, nisikufiche naongea leo niko hai mpaka nakufa kama hatatibiwa pepo la ngono tutaona anaenda vizuri kesho anaaibika.

Lakini pia leo hii mambo anayefanya Wema hawezi kupata investor serious aka invest Kwenye Wema Sepetu Brand   Kwa sababu hakuna mtu anayeweza kuwekeza kwa mtu ambaye anakuaibisha yaani endorsement zote atapoteza na kuishia kujirudisha nyuma”.

Tangu kusahau kwa video hizo chafu Wema Siku ya jana ameita mkutano na waandishi wa habari na kuomba radhi kwa yote aliyofanya.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.