Wema Kupambana na TCRA Mahakamani.

Mamlaka inayohusika na ufatiliaji wa sheria za mitandao nchini TCRA wameamu kumfungulia mwanadada wema sepetu shitaka baada ya kufaya kosa la kuchapisha video chafu katika mitandao ya kijamii na kufanya kitendo cha ukiukaji wa maadili katika mitandao ya kijamii.

Shitaka hilo lenye kesi namba  KJN/RB.13607/2018 kuchapisha picha zenye maudhui ya ngono mtandaoni., huku kesi iyo ikiwa imefunguliwa katika kituo cha olisi cha kijitinyama jijini da es salaam.

download latest music    

Ikumbukwe kuwa wiki iliyopita mwanadada Wema Sepetu aliomba msamaha kwa kosa lake hilo na kukiri kukosea na kukosea mashabiki pamoja na serikali kwa ujumla.

Hata hivyo utekelezaji wa kufungua kesi kwa TCRA kumetokana na kutakiwa kufuatwa kwa sheria za mitandao ambazo kila mara wamekuwa wakipiga kelele inabidi zifuatwe.

Hata hivyo wataalamu wa shetia wamesema kuwa kwa kosa la Wema , endapo kesi hiyo itapelekwa mahakani na kukutwa na hatia itamgharimu wema kufungwa kwa kifungo cha miaka 7 au faini ya milioni 20 au vyote kwa pamoja.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.