Wema Sepetu Afungukia Furaha Anayopata Kufanya Biashara Anayofanya

Msanii wa filamu wa Bongo movie Mrembo Wema Sepetu amefunguka na kuweka wazi kuwa hakuna kazi anafurahia kama kuzaa nguo kwenye duka lake jipya.

Baada ya Kupitia kipindi kigumu mwishoni mwa mwaka huu hatimaye Wema ameweza kupata tena Furaha Baada ya kufungua biashara yake mpya na kuelekeza nguvu zake kwenye kazi.

download latest music    

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la  Ijumaa Wikienda, Wema Sepetu alisema kuwa Hivi sasa anaanza kuona utamu wa biashara hiyo ndiyo maana sasa hivi hapati usingizi kama zamani.

Biashara ni tamu kinoma ukiweza kuipatia. Kufanya biashara ambayo unaipenda ni jambo la msingi sana. Nafurahia kazi yangu hii, kuna vitu nimejifunza pia,”

Wema ambaye anamiliki duka hilo la nguo alilolipa jina la Little Sweetheart lililopo Mwananyamala, Koma-Koma jijini Dar.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.