Wema Sepetu Kuja na Event Ya Mwaka ‘Birthday Bash’

Muigizaji wa Bongo movie mrembo Wema Sepetu amefunguka na kutangaza shughuli yake ambayo ameitangaza kama ‘Birthday Bash’ itakayofanyika tarehe 28 Septemba.

Wema ametangaza kuwa  tiketi za ‘Birthday Gala’ zitaanza kuuzwa rasmi kuanzia kesho (Jumamosi) huku bei elekezi zikiwa ni 50000 kwa tiketi moja na kwa meza ya watu 10 ikiwa ni tsh 500,000.

download latest music    

Mrembo huyo atafanya matukio mawili kwa pamoja, uzinduzi wa filamu yake mpya ‘Dad’ alioshirikiana na Van Vicker kutoka Nigeria pamoja na kusherekea birthday yake ambayo ameiita Bithday Gala.

https://www.instagram.com/p/BnsOyVsn9pO/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=167grqmk00rzg

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.