Wolper Amwaga Povu Zito Kisa Muna

Muigizaji wa Bongo movie na mwanamitindo maarufu Jacqueline Wolper amejikuta akiporomosha mvua ya matusi pale alipoulizwa kuhusu sakata la Muna.

Muna ametawala vichwa vya habari kwa wiki kadhaa kufuatia skendo yake ya kumtelekeza mtoto wake wa kwanza anayeitwa Brian na majibizano a familia yake Kwenye vyombo vya habari.

download latest music    

Kwenye mahojiano aliyofanya na Global Publishers, Jacqueline Wolper amewajia juu watu wanaoingilia ugomvi wa familia za watu wanaowaona Kwenye mitandao ya kijamii.

Watu wa Instagram ni washenzi na hawajielewi, tena ni wapuuzi na wapumbavu. Kazi kufuatilia maisha ya watu tu, kwa nini wasimuache Muna mambo yake na familia yake, kila mtu abebe msalaba wake”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.