Wolper Atoboa Siri za Wakongo

Msanii wa kike bongo Jackline Wolper ambae kwa sasa pia amejikita katika ujasirimali wa mavazi amefunguka na kusema kuwa kwa kipindi hiki cha kukaa na wanaume tofauti tofauti ameweza kujifunza na kuwaelewa sana wanaume kiasi kwamba ameshajua hawezi kukaa akiwategemea katika maisha endelevu ya kila siku kwa sababu wengi wamekuwa niwaongo lakini jinsi wanavyoishi na wewe huwezi jua kuwa ni waongo.

Jackline Wolper ambae kwa muda mfupi amekuwa na kesi za mara kwa mara za kutoka na wanaume tofauti tofauti na kuachana nao anaoenaka amepata funzo kuoitia kwao kwa sababu amekuwa akishindwana nao kwa sababu ya uongo wa wanaume hao.Jackline ansema kuwa tangu ajifunza hayo ameona ni bora ajikite katika kazi na bishara zake zaidi za ubunifu.

download latest music    

Kuna wanaume jamani wanajua kusifu tena hasa ukimpa mwanaume wa kikongo,unajina na kuhisi kuwa dunia hii yote ni yako lakini kumbe  hakuna lolote la maana ngoma subiri sasa yeye akuchoke  unajishtukia amekumaliza kwa kila kitu na bado anakukimbia.-Alisema Jacky

Kwa maneno hayo Jack anayoogea anakuwa na uzoefu nayo kutokana na kwamba alishawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume wa kikongo ambae alifikai hatua mpaka ya kumavalisha pete ya uchumba lakini mwanaume huyo alikuja kujulikana kuwa huko alipokuwa alikuwa na familia

Jacky anasema kuwa pamoja na kwamba anendelea na kazi ya usanii lakini anajikita zaidi katika kazi za ubunifu wa mavazi , na hii yote amekuwa akiifanya kwa sababu ana ndoto za kuwa na lebo kubwa ya mavazi itakayomfanya ajulikane mbali zaidi kwa kazi zake na kuziuza hata nje ya bongo.

Jacky anasema kuwa amekuwa akiwapenda sana wadada wenye mahusiano na wanaume wa kikongo kwa sababu wanajua kusigia ingawa ni wagumu kutoa ela ila yeye ananufaika kwa sababu anavyosifiwa na mwaaume huyo anakuwa tayari kununua kitu kutoka kwake.

Hata hivyo kwa sasa hivi Jacky hajatangaza kuwa na mahusiano ya kimapezni na mwanaume yoyote tangu alipoachana na Brown.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.