Wolper- Cardi B Ndio Kaniiga Vazi Langu

Muigizaji wa Bongo movie aliyegeuka Mwanamitindo Jacqueline Wolper anayemiliki boutique lake la mavazi linalojulikana kama ‘Wolper House Of Stylish’ amedai Cardi B kamuiga kuvaa vazi lake.

Wolper amedai kuwa staa wa kimataifa rapper kutoka Marekani Cardi B anayefanya vizuri hivi sasa ameiga vazi lake alilolishona mwenyewe na kulivaa siku ya Jumamosi kwenye Vikings Night Show ya Papii Kocha.

download latest music    

Wolper ameibuka na kusema Cardi B amemuiga kwani yeye alivaa vazi lake siku ya Jumamosi tarehe kumi na Cardi B alivaa gauni lake Jumapili tarehe 11 kwenye iHeart Music Awards.

Wolper ametokwa na povu na kuwalaumu Watanzania kwa kuwa na Double standards kwani Cardi B alivyovaa lile gauni wamemsifia lakini yeye wamemponda na kudai kama anataka kupaa.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Wolper alitokwa na povu hili:

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.