Young killer Aelezea Alipomtoa Edu Boy

Msanii wa hip hop Bongo nchini, , Young Killer,  amefunguka na kusema ameshangazwa sana  na kauli ya Edu Boy kusema kwamba Baghdad amemfahamu yeye kupitia Edu boy wakati Young Killer ndio alimtoa Edu boy mkoani na kumleta Dar kufanya muziki.

Akizungumza na eNEWZ amesema kuwa wanahip hop nyuma yake wapo yeye sio wa mwisho hadi kufikia Baghdad kusema hivyo inawezekana kuna vitu ambavyo ameviona ndio maana vikampelekea yeye kusema hivyo hata hivyo amemshukuru kwa kumuona yeye kuwa anafanya vizuri hadi kufikia kumtaja.

download latest music    

Young killer anasema kuwa Edu boy anatakiw kukumbuka kuwa yeye ndio aliemtia shule na kumleta Dar na wasla sio hao anaowataja yeye katika mitandao ya kijamii.akiongea na waandishi anasema ”

“Sioni kama hakuna kwa mtazamo wangu inawezekana yeye hadi kusema hivyo kuna vigezo ameviona, ila pia Bahgadad  ni mdau mkubwa wa muziki wa hip hop pia ni mtangazaji na msanii  hivyo hadi kusema hivyo ni kwamba kuna vitu tayari ameviona kwangu ndio maana akasema lakini mimi naona wapo wengine waliokuja nyuma yangu na wako poa tu “, alisema Young Killer.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.