Young Killer Arudisha Majeshi Kwa Miss Hip-Hop

Siku chache  zilizopita msanii wa hip-hop nchini Young Killer alifunguka na kusema kuwa hana mahusiano tena na mpezni wake Miss hip-uop kutokana na kushindwa kuelewana kwao kuliowafanya washindwe kuwa pamoja kwa zaidi ya miezi sita.

hivi karibuni siku ya wanawake duniani katika snapchat ya msanii huyo ilionekana picha ya mwanadada huyo ambae  alikuwa mpenzi wake na ikasemekana kuwa aliachana nae lakini inavyoonekana ni kwamba wawil hao wako pamoja tena.

download latest music    

                                             

 

Miss hip-hop na Young killer wamekuwa wapenzi kwa miaka mingi , lakini hapo katikati waligombana na kushindwa kukaa pamoja.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.