Z-Anto Atoa Sababu Inayomfanya Wasanii wachanga kukata Tamaa ya Kuimba

Msanii Z-anto ambae alitamba sana na wimbo wake wa binti kiziwi amefunguka na kusema kuwa mja ya sababu kubwa iliyowahi kumaktisha tamaa katika kufanya kazi za muziki ni kutokana chuki zinazoendekezwa baina ya wasanii na wadu wa muziki.

Akitoa uzoefu wake katika hili z-anto anasema kuwa mwaka 2008 aliwahi kuwekwa katika kinyanganyio kimoja nchi lakini hakuweza kupata chochote ingawa  alikuwa anaonekana kuwa alikuwa anafaa kwa kinyanganyio icho na hiyo yote ni kwa sababu tu  moja ya watu walioandaa mashindano hayo alikuwa amegombana nae.

download latest music    

Akiongea na clouds media anasema “mwaka 2008 nilikuwa kwenye kinyanganyio cha msanii bora chipukizi , lakini sikuingia wala kushinda kwa sababu kuna mtu mmoja kati ya wale waliokuwa wakisimamia shindano ilo nilikuwa nimegombana nae, japo nilikosa tuzo lakini haikunifanya niache muziki.”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.